Kangi Lugola akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani aliwahi kukilalamikia Kituo cha Polisi Gogoni mwaka 2019

Kangi Lugola akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani aliwahi kukilalamikia Kituo cha Polisi Gogoni mwaka 2019

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,412
Reaction score
3,043
Mwaka 2019, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola “Ninja” aliwahi kukilamikia kituo cha Polisi Gogoni kwa ukiukwaji wa haki. Tujikumbushe hapo chini;

Waziri wa @WizaraMNN Kangi Lugola leo Juni 23, 2019 amefanya ziara ya kushtukiza Kituo cha Polisi Gogoni, Wilaya ya Kipolisi Kimara,jijini Dar es Salaam amewahoji mahabusu 32, kati yao, 11 alishangaa uwepo wao katika selo ya kituo hicho kwa miezi sita.

img_4486-jpeg.3166759
 

Attachments

  • IMG_4486.jpeg
    IMG_4486.jpeg
    844.6 KB · Views: 17
Walau huyu jamaa alikuwa anafuata nyayo za mrema kwa masimulizi.

Hakupenda hii nchi raia wakae kwa uonevu wala wasiwasi. Ndiye aliasisi gari zianze kutembea usiku kucha sio habar ya kuogopa majambazi.

Amesha rest in peace ama yupo. Mzee wa mauno 😃😃😃
 
Walau huyu jamaa alikuwa anafuata nyayo za mrema kwa masimulizi.

Hakupenda hii nchi raia wakae kwa uonevu wala wasiwasi. Ndiye aliasisi gari zianze kutembea usiku kucha sio habar ya kuogopa majambazi.

Amesha rest in peace ama yupo. Mzee wa mauno 😃😃😃
Bado yupo hai
 
Gogoni polis station.....the center for kidnapping and killing of innocent civilians.
 
Mwaka 2019, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola “Ninja” aliwahi kukilamikia kituo cha Polisi Gogoni kwa ukiukwaji wa haki. Tujikumbushe hapo chini;

Waziri wa @WizaraMNN Kangi Lugola leo Juni 23, 2019 amefanya ziara ya kushtukiza Kituo cha Polisi Gogoni, Wilaya ya Kipolisi Kimara,jijini Dar es Salaam amewahoji mahabusu 32, kati yao, 11 alishangaa uwepo wao katika selo ya kituo hicho kwa miezi sita.

img_4486-jpeg.3166759
Kumbe drama hapo zimeanza kitambo
 
Mwaka 2019, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola “Ninja” aliwahi kukilamikia kituo cha Polisi Gogoni kwa ukiukwaji wa haki. Tujikumbushe hapo chini;

Waziri wa @WizaraMNN Kangi Lugola leo Juni 23, 2019 amefanya ziara ya kushtukiza Kituo cha Polisi Gogoni, Wilaya ya Kipolisi Kimara,jijini Dar es Salaam amewahoji mahabusu 32, kati yao, 11 alishangaa uwepo wao katika selo ya kituo hicho kwa miezi sita.

img_4486-jpeg.3166759
Ila,alisema Magu ni mungu.Bloody shenzy!
 
Back
Top Bottom