acha kufuru juu ya kufuru....yesu ni mtume/nabii kama wengine ...Huyu anatafuta laana. Unamlinganisha mwanadamu na Mungu katika umbo la mwanadamu. Hii ni kufuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chezea kusamehewa makosa yake,pia huyo ni mwanafunzi wa yesu wa chato alikuwa ni Mwalimu wake,so kange atakuwa ndie batholomeo.Tunakoelekea ni kubaya kuliko tunakotoka.
Mwanaume unamsifu mtu kiasi cha kumfananisha na Mungu kweli?
Chezea kusamehewa makosa yake,pia huyo ni mwanafunzi wa yesu wa chato alikuwa ni Mwalimu wake,so kange atakuwa ndie batholomeo.
Hata siku moja ndio zinazomfurahisha.Sio Mara ya kwanza Wala ya mwisho hizi.Ukishazoea kuabudiwa sijui utaishije siku mfumo ukikutupa maana wakati ni ukutaKange ameamua kumtukana Rais na kumchonganisha na wakristo. Anapaswa Rais kwanza atume takukuru wamshike na wamsweke ndani pili atoe kauli. Hii akiifumbia itasambaa makanisani na sumu itakuwa mbaya sana . Kumbuka amechezea imani ya watu
Anaye amini UTATU pepo ni haramu kwake, vipi aingie peponi ?Unaamini Mwizi,Jambazi,Muuaji asiyeamini Yesu ni Mungu na UTATU ataingia peponi na yule mtenda mema anayeamini Yesu ni Mungu na UTATU ataingia motoni
Kujua yanayo endelea kule siyo lazima nitoke kule kijana, mangapi yaliyo pita tunayajua hali ya kuwa siai hatukuwa sehemu ya tukio husika au wenye kuhusika ? Hivi huwa mnafikri kwa kutumia nini ?Kuliko kujitia umeshuka toka mbinguni unajua kinachoendelea kule kwamba imani fulani ni sahihi na imani fulani sio sahihi ni kheri ukafocus kwenye kutenda matendo ya kumpendeza Mungu unayemuamini.
Kuulizwa lazima uulizwe kijana, tena maswali yananzia baada ya kuzikwa tu.Ila kama unaamini kule Mbinguni utaulizwa we Muislam, Mkristo, Muhindu au Budha sina comment nyingine.
Nani ameamini hilo ? Ukristo huwezi kuutenganisha na USHIRIKINA, kwa hali yoyote ile, kama hutaamini UTATU basi utaamini ya kuwa Yesu ni mwana wa Mungu au ni Mungu, usipo amini hivyo basi utaamini Yesu alikufa au alisulubiwa, au utaamini Yesu alikuwepo kabla ya kuumbwa dunia na vilivyomo, au utaamini ya kuwa Mola yuko popote, au utaamini ya kuwa Yesu anaponya, yaani hutoki.NB : Kuamini Wakristo Wote wanaamini UTATU ni ujinga mwingine
Hata siku moja ndio zinazomfurahisha.Sio Mara ya kwanza Wala ya mwisho hizi.Ukishazoea kuabudiwa sijui utaishije siku mfumo ukikutupa maana wakati ni ukuta
inamaana umeshindwa kumtafakari kangi na kumuelewa ni mtu wa aina gani?? hebu achana na watu wanaotumia kichwa kama mfuniko wa mwili,Hivi watanzania ule utaratibu wetu wa kuapa kwa vitabu vya Mungu tunaushika kweli?
Mbona haya yanatokea na hakuna anaediriki kusema?
Yesu kristo Ni mwokozi wetu sore tulioamua kumfata na hafananishwi na binadamu.
Siku za mwizi ni arobainiAs per attachment
Tunakuomba Mungu uturehemuView attachment 1478039
Hujakosea kabisaYesu ana kiti na glasi yake Mwanga Bar hapa Dodoma anagonga mtwango (SAFARI LAGER)? Huyu Yesu tumegonga naye sana haya mambo mbona? Sasa hivi tunajua ving'ora haviwezi kupaki hapa Mwanga? Karibuni tuendelee na kiraji, Lugola anaona mwenzie Thobias kawahi msamaha kabla yake, naye anausaka kwa udi na uvumba!
Hajawahi kujiita MUNGU hata siku moja zaidi ya mashetani kumuita hivyo na mmoja wa mashetani ni wewe pia ambae umemuita!!! MUNGU mbariki magufuliMungu ajibariki tena duh!