Unaamini Mwizi,Jambazi,Muuaji asiyeamini Yesu ni Mungu na UTATU ataingia peponi na yule mtenda mema anayeamini Yesu ni Mungu na UTATU ataingia motoni
Anaye amini UTATU pepo ni haramu kwake, vipi aingie peponi ?
Huyo mwizi,muuaji,jambazi unaweza kuniambia ataingia vipi peponi ? Kwa lipi ?
Kuliko kujitia umeshuka toka mbinguni unajua kinachoendelea kule kwamba imani fulani ni sahihi na imani fulani sio sahihi ni kheri ukafocus kwenye kutenda matendo ya kumpendeza Mungu unayemuamini.
Kujua yanayo endelea kule siyo lazima nitoke kule kijana, mangapi yaliyo pita tunayajua hali ya kuwa siai hatukuwa sehemu ya tukio husika au wenye kuhusika ? Hivi huwa mnafikri kwa kutumia nini ?
Hata akili ina kataa tu, haiwezekani Mola atuumbe halafu atuache tu tujiamulie tunayotaka katika njia kisha atulipe pepo, hili halipo, lazima tufate njia yake, na njia yake ni moja tu, tangu anaumba mbingu na ardhi.
Ila kama unaamini kule Mbinguni utaulizwa we Muislam, Mkristo, Muhindu au Budha sina comment nyingine.
Kuulizwa lazima uulizwe kijana, tena maswali yananzia baada ya kuzikwa tu.
NB : Kuamini Wakristo Wote wanaamini UTATU ni ujinga mwingine
Nani ameamini hilo ? Ukristo huwezi kuutenganisha na USHIRIKINA, kwa hali yoyote ile, kama hutaamini UTATU basi utaamini ya kuwa Yesu ni mwana wa Mungu au ni Mungu, usipo amini hivyo basi utaamini Yesu alikufa au alisulubiwa, au utaamini Yesu alikuwepo kabla ya kuumbwa dunia na vilivyomo, au utaamini ya kuwa Mola yuko popote, au utaamini ya kuwa Yesu anaponya, yaani hutoki.
Ahsante.