Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna pesa ilikwapuliwa? Walikuwa bado kwenye stage za kutengeza Mou. Kumbuka tril 1.2 ni zaidi ya escrow scandal . Inawezekana iachwe hivi hivi?Hamna alichukua kihalali ndiyo maana yupo huru...
Hakuna mwanaccm mwizi kumbuka
Na haya ndio mapambio kwenye hilo kanisa lao
Mwanri huyo.Kuna mtu aliwahi kusema Mungu amshukuru Magufuli..hii.mbona kufuru ndogo sana
Anafananisha kopo na pipa, yaani meko hasa ndio wa kufanana na Christ Jesus?!!Kufuru nyingine mpaka unaogopa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Magu aliwahi kusema wkt yeye ni Mwl. aliwahi kumfundisha Kangi huko shuleni.
Kwa hio Kangi ni mwanafunzi wa 'Yesu' kama wakina Petro.
Aliiba? Kwani mkataba ulikuwa tayari? Na kuna pesa zilikwapuliwa?
Aliiba? Kwani mkataba ulikuwa tayari? Na kuna pesa zilikwapuliwa?
Kawaulize TAKUKURU waliosema uchunguzi umekamilika na watamfikisha mahakamani.Aliiba? Kwani mkataba ulikuwa tayari? Na kuna pesa zilikwapuliwa?
1.2 trl na 1.5trl ya CAG ipi kubwa?Kwani kuna pesa ilikwapuliwa? Walikuwa bado kwenye stage za kutengeza Mou. Kumbuka tril 1.2 ni zaidi ya escrow scandal . Inawezekana iachwe hivi hivi?