Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

Nimeandika sana humu kama ulivyoandika. Basi YESU ni Jiwe! Katoliki wamebariki!
 
RC hatunaga mda wa kujadili wajinga na vichaa
 
Kama ni kutengwa ilitakiwa itengwe Biblia kwanza inayotaja maumbile ya mwanadamu kufanana na Mungu, kisha atengwe Lugola. Vinginevyo tukubali kuwa Lugola yuko sahihi na Yesu siyo Mungu aliyeumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo, bali ni mwanadamu kama Magufuli.
 
Tunamwachia Mungu awatenge.
 

Huyu ni mwanafunzi wa Dr Magufuli aliyejivunia nae. Ubora wa mwanafunzi waweza kuwa ni matokeo ya mwalimu au juhudi binafsi na malezi ya kwao au mchanganyiko wa hivi lakini vikiwa na uzito tofauti.
 
Inamana Mungu wa wakiristo anafanana na binadamu, anaenda chooni kunya, anakula chakula, anapata njaa, anaumwa anakojoa
 
Baada ya kufurushwa mezani sidhani Kama anaweza yarudia maneno haya.
Mbele ya tumbo hakuna wanafik Kama watz pale wanaponufaika,naona kigwangwala keshaanza kulalamika kupungua kwa marafiki
 
Baada ya kufurushwa mezani sidhani Kama anaweza yarudia maneno haya.
Mbele ya tumbo hakuna wanafik Kama watz pale wanaponufaika,naona kigwangwala keshaanza kulalamika kupungua marafiki
 
Upumbavu ni pale ambapo wapambe wanaotaka vyeo wanakufuru kukufananisha na Mitume na Manabii wetu, halafu na wewe huwakemei.

Nashukuru Yesu hajawahi kupumua kwa mitungi ya Oxygen na Ventilators
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…