Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

Baada ya kina Andengenye kusamehewa atafatia huyu jamaa, hawa watu wamejua kudance na madhaifu ya meko. Sifiaaa halafu ng'ong'a kwa nyuma.
 
Magu aliwahi kusema wkt yeye ni Mwl. aliwahi kumfundisha Kangi huko shuleni.

Kwa hio Kangi ni mwanafunzi wa 'Yesu' kama wakina Petro.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah mkuu umeua!!
 
Waache wa kufuru malaika wa giza hawa makada ya washetani hawa, unamfananisha mungu na binadamu anayenuka walaaniwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…