Kangi Lugola: Watuhumiwa kufia mikononi mwa polisi ni Mitego ya kifo. Kwani wanaokufa wakifanya mapenzi mnachoma Kitanda?

".........Mbona hawaendi kuchoma Kitanda?" πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuapizana mpaka vizazi Sio vyema

Imagine ukiambiwa Kila unalofanya halifanikiwi Kwa Kuwa Baba wa Babu yako aliapizwa
Mbona hukutoa ushauri huo Makonda aliposema watakaonunua samani zake watalaaniwa wao na vizazi vyao?
 
Mbona hukutoa ushauri huo Makonda aliposema watakaonunua samani zake watalaaniwa wao na vizazi vyao?

Angeandika humu JF ningemshauri
Lakin Kwa Kuwa hakutumia Jukwaa hili haikuwa rahisi kumshauri
 
NONSENSE!!!!!!!!
 
Utawala uliofitinika utauona tu
Kasema uongo? Hakuna mbunge aliyefia mjengoni? Hujaona watu wanafia bafuni au chooni? Je wanaofia kwenye gari wakisafiri? Hujaona wanaofia bar wakipiga urabu? Wanaofia kwenye vifua vya wanawake hujawaona?
 
Inamaana uzi huo ulipita kimya kimya au ulitia neno!!!!

Wewe umeniuliza Kwanini Sikushauri Kwa Makonda Kwani huo uzi uliletwa Na Makonda?

Ila Pia kumbuka ushauri Sio order Ukiona sahihi unauchukua Na Ukiona haifai unaendelea Na utaratibu wako wa Maisha Kama kawaida
 
Wewe umeniuliza Kwanini Sikushauri Kwa Makonda Kwani huo uzi uliletwa Na Makonda?

Ila Pia kumbuka ushauri Sio order Ukiona sahihi unauchukua Na Ukiona haifai unaendelea Na utaratibu wako wa Maisha Kama kawaida
Double standard
 
Mbona huko nyumaa walikuwa hawafii kituo cha polisi.
Ni swala la kujiuliza kwa sauti tu
Una uhakika unakumbuka sakata lililosababisha waziri wa mambo ya ndani wakati huo AHM kujiuzulu au ulikua hujazaliwa
 
 
Heri kufa na fikra zinazoishi kuliko kuishi na fikra mfu.
 
sometimes ninajisikitikia why nilizaliwa Tanzania ?nchi haiishi vituko vya ajabu elewa my minister wewe ni mmoja wa security cluster wa nchi yangu ,ninategemea u can do better than this,sijakusikia hata siku moja (hata mawaziri waliokutangulia)wakitoa crime statistics za nchi nzima ikiwa ni pamoja ya waliofia kwenye mikono ya polisi,ndio maana nchi yetu imegeuzwa kuwa ni short cut ya human trafficking,drugs ,money laundering(tetesi fedha za ma terrorists zinapikwa nchini mwetu)ila waziri wangu yupo busy na misemo ya kijiweni,nchi hii mnaipeleka wapi?hakuna awamu ya utawala ambayo watu wengi wamekufa katika mazingira ya utatanishi kama awamu hii na hili tukiliongea tunanyamazishwa kuwa ni uchochezi;please my minister always apply your mind kabla ya kufungua mdomo wako otherwise heshima yako na wizara nyeti unayoiongoza inapotea;nikipewa urais wa siku moja kabla ya saa 4 asubuhi hii wizara ya home affairs nitakuwa nimeshaivunja na kuanzisha wizara mbili;home affairs(only raia na immigrations)na wizara ya polisi (hii itaongozwa na wasomi na utendaji kazi wake hautakuwa wa kupiga ramli,special units kadhaa zitaanzishwa kama ;drugs,human trafficking,hijacking,terror attacks etc etc na on top my crime inverstigations unit itajaa wataalamu wenye uwezo wa kutumia techonoloji katika kudadavua matukio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…