Kangi Lugola: Watuhumiwa kufia mikononi mwa polisi ni Mitego ya kifo. Kwani wanaokufa wakifanya mapenzi mnachoma Kitanda?

Yeyote Ayadharauye mafuriko ujue hayajamfika bado
 
Hawana namna nyingine zaidi ya kukaa upande wa shetani na kujitahidi kumpaka Mafuta ili apendeze.

R.I.P Akwiline
R.I.P. Alphonce Mawazo
R.I.P Daudi Mwangosi

Na woote walio uwawa kwa Hila ..
huu ujinga wa akili yako kuambiwa kila jambo hivi wamekufa hao tu ktk taifa hili wewe wamekufa wangapi ktk ukoo wenu umemuliza nani hayo maswali.acheni ujinga wa kuwekewa sio kila jambo siasa uyapendayo ndio yasemwe.
 
huu ujinga wa akili yako kuambiwa kila jambo hivi wamekufa hao tu ktk taifa hili wewe wamekufa wangapi ktk ukoo wenu umemuliza nani hayo maswali.acheni ujinga wa kuwekewa sio kila jambo siasa uyapendayo ndio yasemwe.

Mkuu ,hao wooote nilio wataja hapo ni Ndugu zangu.Wacha nikae na Ujinga wangu.
 
Kangi anapaswa kujua Mtu akifa kwenye kitanda Cha kwenye ward hospital huwa Sio breaking news lakin akifa kwenye kitanda Cha gesti huwa Ni breaking news
Back to your sense now! Hatuna viongozi tuna watawala, na watawala majibu yao ni ya aina hii....
 
Hoja dhaifu sana hii

Na Mungu hadhihakiwi hivyo kwa mifano duni
 
Lugola muda mwingine anaeleweka muda mwingine sijui anaacha kichwa nyumbani...
 
Du, tangu nizaliwe sijawahi kusikia majibu ya kipumbavu kama haya wallahi!
 
Huyu ninja huwa simwelewagi kabisa anajibugi maswali kama mtoto wa chekechea , Shame on killers damu za wanaouawa iwarudie iviandame vizazi vyenu mpaka kizazi chenu cha nne. curse on you killers!
Na iwe hivyo
 
Kuna watu wanachangia kutetea kila ujinga unao Fanya na serikali ikiwemo mauaji haya ya polisi!!
Nawaombea ndugu zenu wa Karibu wauawe wakiwa chini ya polisi mtajua kwamba huu unao fanyika ni ushetani na laana kwa nchi kumeza damu zisizo na hatia
 
utakuta kuna wapuuzi wanachekelea hayo majibu na kuhisi wao hawawezi fikwa na upumbavu wa polisi

ifike sehemu baadhi ya viongozi wakue akili na busara huwezi zungumzia vifo holel vya wananchi mikononi mwa polisi kama vile unazungumza stori za disko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…