Kanikabidhi binti yake nimpende

Kanikabidhi binti yake nimpende

Gepard

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2021
Posts
291
Reaction score
385
Nimefanikiwa kutengeneza urafiki na mama muuza genge hadi katokea kunipenda na kuniamini sana. Alipenda kujua maisha yangu ya kiroho na maisha ya kawaida na kuridhika nayo.

Baada ya kumaliza chuo 2019 niliamua kujiongeza na mambo mengine nje ya nilichosomea. Mapema nilipanga geto. Nimekuwa mteja wa huyu mama kwa mda kidogo, tukipiga stori na kunishauri kuhusu maisha.

Juzi kati amezidiwa du kumbe alikuwa na tatizo kubwa la kiafya😰 na kulazwa nilijitoa kwa moyo wangu wote kumsaidia ila hali yake ilizidi kuwa mbaya.

Ni single mama mwenye mtoto mmoja wa kike mwenye tabia nzuri sio kama Paula yupo chuo mwaka wa 3 ni mzuri. Juzi kati alituita na mwanae, sitasahau alichosema😢 " mwanangu Eliza wanaume ni wengi ila E" awe mume wako mtarajiwa ninae kushauri umpende kama anavyo mpenda mama yako.

Mama ☺️Akatabasamu akanangalia. Akanambia mwanangu ni mzuri na nimemlea vizuri kwa ajili yako. Mama yake leo hayupo. 😢. Siku ya 15 kwenye mahusiano na nitamuoa.
 
Huko Mara mwenzako katolewa sifongo .. Kisa wazazi wa mwanamke walimchagulia mwanaume wa kuolewa naye....baada ya ndoa siku ya 14 jamaa kaomba mechi kapewa kimoko cha kwanza na cha mwisho alipomaliza na kulala zake binti kachukua upanga na kumkata shingoni mara 3 na baada ya hapo binti[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Amesema baada ya kufanya kitendo hicho Happy alikwenda kwenye nyumba ya mkwewe na kuchukua chakula na kuanza kula.
 
Ile pesa ya chuo ndo maana ikaitwa boom maana inatoa na akili za wanavyuo zikiwa boom boom tu bila mpangilio.
 
Ile pesa ya chuo ndo maana ikaitwa boom maana inatoa na akili za wanavyuo zikiwa boom boom tu bila mpangilio.
Toa maelekezo vizuri mtu mwenye akili nyingi yanaweza kusaidia.🙏
 
Basi utimuze hiyo ahadi
Asante napenda iwe ivyo, ila kwasababu watu wanabadilika, sijafungwa na maneno ya mama yake ila vile tunaishi nae na tabia zake. Zaid ya hapo kupita hivi sion tatizo
 
Back
Top Bottom