Kanikabidhi binti yake nimpende

Kanikabidhi binti yake nimpende

Wadau wanasema ni swala la muda tu umejipangaje kwa hilo Mkuu?.

Ila haya mambo yapo sana nimepata kuyashuhudia ila hadi mzazi wa binti kukwambia ina maana mna ukaribu mkubwa sana.

Hii inaweza kuwa chai ila haya mambo sio chai yapo huku mitaani, hasa kama kijana una elimu nzuri na tabia yako inayojulikana ni ile njema. Hii situation itakupata tu.
Nina ganzi mkuu, tokea kitambo kwenye mapenzi Mimi ni starling, kusoma upepo mapema 😃. Kuachana kupo kuumia kupo ila ukiamini hayo unapunguza maumivu yakijakutokea.
 
Emmanuel chai yako nzuri sana..mnanaa umekolea vizuri ila hakikisha unaongeza tangawizi na mdalasini
Hauna experience labda na Mambo Kama hayo. Usikimbilie kutokuamini. Ushauri nimepokea lakini😄
 
Akikua kua atakutosa tu Ni swala la muda, Tena utaumia mno, wazazi tuache huu udwanzi wa kutafutia watoto wetu wenzi wa

shauri wako ni mzuri. Ila ni tofauti kidogo na kisa changu. Mzazi wake alijua tunapendana na binti yake though hatuna mahusiano mana nlikuwa namuheshimu Sanaa, alichosema ni ushauri ambao kila mmoja ameona unafaa. Kuachwa au kuacha kupo tu haijalishi namna mlivyo pendana☺️ nipo tiyari kuachana.
 
Mapenzi ya wawili na ya kusokomezwa na wazazi au walezi yanatofautiana hata jinsi ya kuhandle stress na changamoto zake kisaikolojia Ni tofauti kabisa
 
vyovyote vile..... kodi zetu ndio zimetuletea kijana wa namna hii! from low level to higher hao waliokufundisha si tuliwezesha wao kulipwa, samani, miundombinu
Io ni kweli kabisa mlipa Kodi.🤝
 
Hauna experience labda na Mambo Kama hayo. Usikimbilie kutokuamini. Ushauri nimepokea lakini[emoji1]
Nina experience yakutoshaa mkuu..nikiwaa naishi ubungo mwaka 2007 mama mwenye nyumba wangu nilikua namla,kumbe alikua na matatizo ya moyo nilishanga kuna siku aliniambia akifaa nimchukue mwanae awe mke wangu.
 
Huko Mara mwenzako katolewa sifongo .. Kisa wazazi wa mwanamke walimchagulia mwanaume wa kuolewa naye....baada ya ndoa siku ya 14 jamaa kaomba mechi kapewa kimoko cha kwanza na cha mwisho alipomaliza na kulala zake binti kachukua upanga na kumkata shingoni mara 3 na baada ya hapo binti[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Amesema baada ya kufanya kitendo hicho Happy alikwenda kwenye nyumba ya mkwewe na kuchukua chakula na kuanza kula.
Mmhhh!!!,Mara hiyo?.
 
Mshana jr, asante kwa kushare uzoefu lakini.Sasa tumependana nae, sio kwa mapendekezo ya Mama ni Kama upendo wowote ule unavyojijenga[emoji22] pia unaweza kuvunjika. Nakubaliana na chochote.
Nipe namba zake za simu ili nimsisitize kuwa aendelee kukupenda kwa dhati kabisa.
 
Nina experience yakutoshaa mkuu..nikiwaa naishi ubungo mwaka 2007 mama mwenye nyumba wangu nilikua namla,kumbe alikua na matatizo ya moyo nilishanga kuna siku aliniambia akifaa nimchukue mwanae awe mke wangu.
Daah, ni mzuka tu alipata au alimaanisha ?then Kama ulikuwa unapiga mama mwenye nyumba daaah😄 we ni jeshi. Ila mwanae mliwahi kuwa na relationship?
 
Daah, ni mzuka tu alipata au alimaanisha ?then Kama ulikuwa unapiga mama mwenye nyumba daaah[emoji1] we ni jeshi. Ila mwanae mliwahi kuwa na relationship?
Yes..mwanae na shangazi wa mtoto pia, na walikua wanajua
 
Huko Mara mwenzako katolewa sifongo .. Kisa wazazi wa mwanamke walimchagulia mwanaume wa kuolewa naye....baada ya ndoa siku ya 14 jamaa kaomba mechi kapewa kimoko cha kwanza na cha mwisho alipomaliza na kulala zake binti kachukua upanga na kumkata shingoni mara 3 na baada ya hapo binti[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Amesema baada ya kufanya kitendo hicho Happy alikwenda kwenye nyumba ya mkwewe na kuchukua chakula na kuanza kula.

Mmmh Ana roho ngumu mno
 
Back
Top Bottom