iziga azizi
Member
- Aug 16, 2020
- 75
- 159
Saf sana mungu awabariki mpate watoto wema pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Huko Mara mwenzako katolewa sifongo .. Kisa wazazi wa mwanamke walimchagulia mwanaume wa kuolewa naye....baada ya ndoa siku ya 14 jamaa kaomba mechi kapewa kimoko cha kwanza na cha mwisho alipomaliza na kulala zake binti kachukua upanga na kumkata shingoni mara 3 na baada ya hapo binti[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Amesema baada ya kufanya kitendo hicho Happy alikwenda kwenye nyumba ya mkwewe na kuchukua chakula na kuanza kula.
Oi! Movie gan hii unawatch....[emoji38]
[emoji3][emoji3]Hii movie ni kama nishaiwatch mazee, nimesahau jina tu.[emoji16]