Kanikatalia ila nimempa zawadi ya chupi kapokea

Kanikatalia ila nimempa zawadi ya chupi kapokea

Status
Not open for further replies.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kwema wakulungwa?
Kuna kabinti shemeji yangu niko naye karibu sana. Mishe zake zote ananiambia na mimi ndiye mshauri wake mkuu.
Kila nikitupia nyavu kimasihara anagusia kuwa anamwogopa dada yake.
Majuzi nikamfungukia live akaniambia no. Hataki kumuumiza dada yake. The next day nikampelekea chupi one dozen za ukweli kapokea na kashukuru.
Sasa huyu nimpotezee au niendelee kutupia nyavu?
 
Kwema wakulungwa?
Kuna kabinti shemeji yangu niko naye karibu sana. Mishe zake zote ananiambia na mimi ndiye mshauri wake mkuu.
Kila nikitupia nyavu kimasihara anagusia kuwa anamwogopa dada yake.
Majuzi nikamfungukia live akaniambia no. Hataki kumuumiza dada yake. The next day nikampelekea chupi one dozen za ukweli kapokea na kashukuru.
Sasa huyu nimpotezee au niendelee kutupia nyavu?
Hizi ndio zawadi wadhungu wanasema " a present we can both unwrap"
 
Kwani ulimpelekea zawadi ili aikatae?
No. Nilimpelekea kwakuwa nilimuahidi kuwa ninampelekea. Tena nilimtajia aina ya zawadi kabisa akakubali nimpelekee. Nikatupia nyavu akakataa asubuhi nikampelekea hiyo zawadi akapokea
 
No. Nilimpelekea kwakuwa nilimuahidi kuwa ninampelekea. Tena nilimtajia aina ya zawadi kabisa akakubali nimpelekee. Nikatupia nyavu akakataa asubuhi nikampelekea hiyo zawadi akapokea
Komaa ule mbususu hiyo bwana wewe
 
No. Nilimpelekea kwakuwa nilimuahidi kuwa ninampelekea. Tena nilimtajia aina ya zawadi kabisa akakubali nimpelekee. Nikatupia nyavu akakataa asubuhi nikampelekea hiyo zawadi akapokea
Mie sioni sababu ya yeye kuikataa
 
Kwema wakulungwa?
Kuna kabinti shemeji yangu niko naye karibu sana. Mishe zake zote ananiambia na mimi ndiye mshauri wake mkuu.
Kila nikitupia nyavu kimasihara anagusia kuwa anamwogopa dada yake.
Majuzi nikamfungukia live akaniambia no. Hataki kumuumiza dada yake. The next day nikampelekea chupi one dozen za ukweli kapokea na kashukuru.
Sasa huyu nimpotezee au niendelee kutupia nyavu?
Kwa hiyo zawadi anaenda kutumia na dada yake
 
Siku hizi mbona sioni nyuzi za wadada wakisaka wanaume wa kumalizia nao maisha yaliyo baki? Au wadada wa jf wote wameolewa hii 2022 wadada naomba jibu.
 
Kwema wakulungwa?
Kuna kabinti shemeji yangu niko naye karibu sana. Mishe zake zote ananiambia na mimi ndiye mshauri wake mkuu.
Kila nikitupia nyavu kimasihara anagusia kuwa anamwogopa dada yake.
Majuzi nikamfungukia live akaniambia no. Hataki kumuumiza dada yake. The next day nikampelekea chupi one dozen za ukweli kapokea na kashukuru.
Sasa huyu nimpotezee au niendelee kutupia nyavu?
Shetwani shindwa Kwa kabisaaa Kwa jina YESU KRISTO, tunaomba umwokoe huyu mpendwa wetu Kwa dhambi kubwa anayoitaka kuifanya.Amina
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom