Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 2,212
- 4,808
AyaMambo ya kutongozana nilishasahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AyaMambo ya kutongozana nilishasahau
Yaani unatega alarm kabisa unaweka na reminder!? [emoji23][emoji23][emoji23]Mwanzo wa Mahusiano
Mwanamke ukimopata weka siku nne za kumuanza wewe kumtumia sms, mtumie asubui ya umeamkaje na siku njema na usiku ya kuchati kidogo fanya hivyo ndani ya siku nne mfululizo kwa ku-adjust time.
Yaani Day one umemtumia "mambo" saa 2:00, Day two saa 2:30, Day three saa 3:00, Day four saa 4:00....Hizi time una adjust hili kumpa room ya yeye kukumza kukutumia sms muda kama ule unaomtumia.
Kama siku zote nne hizo hata ajajigusa kuanza kukutumia sms, siku ya nne usiku usimtafute, na siku ya tano asubui usimtumie text na siku mtumie "Goodnight" tu, siku ya sita yooote piga kimya ajakutafuta piga kimya mazima amna mwanamke humo.
Unasali kanisa gani mkuu i mean aneo lilopo pia??Mapenzi ni upuuzi tu ngoja nifocus na maisha, kiukweli nimefunga nimeomba kwa Mungu mke wangu siku akifika nitamuona tu, yaani sitatumia nguvu nyingi kama ninayotumia kwa huyu binti.
Kiukweli binti ni mzuri binti wa Manyovu huko mnanira asili yake ni kama mtusi fulani kutoka rwanda, black beauty yaani mashallah, huyu binti nilikua namuona church tu nikajaribu kutupia nia, nilimwambia nia yangu ni kua mchumba wangu then mke wangu, mwanzoni akachomoa mimi nikafuta namba yake nikafocus na mambo yangu maana huwa sipendi kujipa pressure za kijinga, lakini nikimuangalia mapigo yake ni kama alikua ananitaka, kwasababu hawezi pitisha siku mbili ananicheck, ikabidi nitangaze nia kwa mara nyingine akanikubalia.
Ajabu ni kwamba tokea anikubalie, moyoni mwangu nimedevelop hisia za juu sana kwake, namuwazia sana kuhusu future yetu, lakini dogo ni mpuuzi, namtumia sms asubuhi anajibu jioni, nilimuweka wazi kwamba hiyo tabia sipendi na kama alifanya maamuzi ya kunikubalia bila kutafakari vizuri arudi kuchakata mawazo yake, lakini yeye anasisitiza ananipenda mno, kwa experience yangu watu wakipendana lazima mawasiliano yawepo, najiuliza huyu hata kama nikikomaa nimuoe huko mbeleni atakuja kunisumbua tu?
Nina marafiki wengine wa kike ambao sio wapenzi wangu lakini tunajuliana hali mara nyingi zaidi, lakini huyu sijui anawaza nini kichwani mwake au kwa sababu bado mdogo? Ana miaka 21 sasa hivi.
Nb, hana kazi yoyote ya maana inayomfanya awe busy.
Parokia ya katubuka hapo.Unasali kanisa gani mkuu i mean aneo lilopo pia??
Ok ushauri wangu...Parokia ya katubuka hapo.
That is a clear Red FlagMapenzi ni upuuzi tu ngoja nifocus na maisha, kiukweli nimefunga nimeomba kwa Mungu mke wangu siku akifika nitamuona tu, yaani sitatumia nguvu nyingi kama ninayotumia kwa huyu binti.
Kiukweli binti ni mzuri binti wa Manyovu huko mnanira asili yake ni kama mtusi fulani kutoka rwanda, black beauty yaani mashallah, huyu binti nilikua namuona church tu nikajaribu kutupia nia, nilimwambia nia yangu ni kua mchumba wangu then mke wangu, mwanzoni akachomoa mimi nikafuta namba yake nikafocus na mambo yangu maana huwa sipendi kujipa pressure za kijinga, lakini nikimuangalia mapigo yake ni kama alikua ananitaka, kwasababu hawezi pitisha siku mbili ananicheck, ikabidi nitangaze nia kwa mara nyingine akanikubalia.
Ajabu ni kwamba tokea anikubalie, moyoni mwangu nimedevelop hisia za juu sana kwake, namuwazia sana kuhusu future yetu, lakini dogo ni mpuuzi, namtumia sms asubuhi anajibu jioni, nilimuweka wazi kwamba hiyo tabia sipendi na kama alifanya maamuzi ya kunikubalia bila kutafakari vizuri arudi kuchakata mawazo yake, lakini yeye anasisitiza ananipenda mno, kwa experience yangu watu wakipendana lazima mawasiliano yawepo, najiuliza huyu hata kama nikikomaa nimuoe huko mbeleni atakuja kunisumbua tu?
Nina marafiki wengine wa kike ambao sio wapenzi wangu lakini tunajuliana hali mara nyingi zaidi, lakini huyu sijui anawaza nini kichwani mwake au kwa sababu bado mdogo? Ana miaka 21 sasa hivi.
Nb, hana kazi yoyote ya maana inayomfanya awe busy.
Huyo ana Mchumba mwingine so anajaribu kuangalia wapi achague .......ila kwa sasa mzani hauko kwako.Mapenzi ni upuuzi tu ngoja nifocus na maisha, kiukweli nimefunga nimeomba kwa Mungu mke wangu siku akifika nitamuona tu, yaani sitatumia nguvu nyingi kama ninayotumia kwa huyu binti.
Kiukweli binti ni mzuri binti wa Manyovu huko mnanira asili yake ni kama mtusi fulani kutoka rwanda, black beauty yaani mashallah, huyu binti nilikua namuona church tu nikajaribu kutupia nia, nilimwambia nia yangu ni kua mchumba wangu then mke wangu, mwanzoni akachomoa mimi nikafuta namba yake nikafocus na mambo yangu maana huwa sipendi kujipa pressure za kijinga, lakini nikimuangalia mapigo yake ni kama alikua ananitaka, kwasababu hawezi pitisha siku mbili ananicheck, ikabidi nitangaze nia kwa mara nyingine akanikubalia.
Ajabu ni kwamba tokea anikubalie, moyoni mwangu nimedevelop hisia za juu sana kwake, namuwazia sana kuhusu future yetu, lakini dogo ni mpuuzi, namtumia sms asubuhi anajibu jioni, nilimuweka wazi kwamba hiyo tabia sipendi na kama alifanya maamuzi ya kunikubalia bila kutafakari vizuri arudi kuchakata mawazo yake, lakini yeye anasisitiza ananipenda mno, kwa experience yangu watu wakipendana lazima mawasiliano yawepo, najiuliza huyu hata kama nikikomaa nimuoe huko mbeleni atakuja kunisumbua tu?
Nina marafiki wengine wa kike ambao sio wapenzi wangu lakini tunajuliana hali mara nyingi zaidi, lakini huyu sijui anawaza nini kichwani mwake au kwa sababu bado mdogo? Ana miaka 21 sasa hivi.
Nb, hana kazi yoyote ya maana inayomfanya awe busy.
Daah stori yako imefanana na yangu 100%.Wanaume tuache kutongoza demu wiki 2 ..umekataliwa siku ya kwanza potezea ..huyo hajakuelewa.
Hivyo ndio ninavyojua mkuu, mwanamke akikuelewa kwanza yeye mwenyewe ataonyesha uhitaji, sasa huyu bana nikimzingua nikimwambia afanye mambo yake hataki, sema kuna mwamba hapo juu amesema atakua yupo na mishikaji mwingine anapima nani anafaaNiliwahi kuwa na mpenz kama huyo
Mimi ndo kila mara nilikuwa wa kwanza kumtext..hizo sms anavyojibu sasa nikaona hapa hakuna mtu naforce tu
Mambo mpenzi wangu ..unajibiwa saf ..imeisha hiyo
Vipi hapo nyumbani lakini ...unajibiwa nzur..imeisha Hi yo
Unamaliza tena , nilikuwa nakujulia hali mpenzi wangu ..unajibiwa 'K' ..imeisha hiyo
Nikawa huyu dada alinikubalia ili iwaje ? nikampotezea mazima na yeye hakunitafuta tena.
Nikaja kuonana na Dada ake ndo akaniambia kuwa mwenzio alikukubalia tu ili usiendelee kumsumbua.
Wanaume tuache kutongoza demu wiki 2 ..umekataliwa siku ya kwanza potezea ..huyo hajakuelewa.
Mwanamke akikuelewa siku hiyo hiyo unapewa jibu ..hata Kama ana mtu wake atakwambia hana.
Mptezee wacha kuwa SIMP umri wako mdogo ku SIMP mapema bado unamdaHivyo ndio ninavyojua mkuu, mwanamke akikuelewa kwanza yeye mwenyewe ataonyesha uhitaji, sasa huyu bana nikimzingua nikimwambia afanye mambo yake hataki, sema kuna mwamba hapo juu amesema atakua yupo na mishikaji mwingine anapima nani anafaa
beekeeper unamshauri MTU anywe maziwa, asali utamuuzia Nani?Mimi kama Mimi nakushauli uwe unakunywa maziwa fresh.