Kaninyima namba ya simu ila mzigo kanipa simuelewi

Kaninyima namba ya simu ila mzigo kanipa simuelewi

Kuna manzi simuelewi sijui ana agenda gani yani nimemsomesha Hadi kanipa mzigo nikamuomba namba ya simu kakataa katakata, tukionana ananipa mzigo bila tatizo ila namba yake amegoma kabisa kunipa. Huyu atakua ana shida gani? Kuna mda huwa natamani nimpigie napata shida sana yani hadi nikutane nae ndo anipe mzigo.
Yaani namba ya simu imekuwa siri kuliko sehemu za siri alizokupa?

Yaani ni heri akupe sehemu za siri kuliko namba ya simu?

Habari mbaya kwako, huenda njema kwake. Hapo hakuna mahusiano, maana ili pawepo na mahusiano lazima mawasiliano yawepo.

Nyinyi mnachokifanya ni kama kuku tu au mbuzi.
 
Wewe si unataka kula mzigo? Achana mengine yote ya nini hayo kikubwa anakupa lengo kuu
 
Wewe si unataka kula mzigo? Achana mengine yote ya nini hayo kikubwa anakupa lengo kuu
Nataka kula mzigo ndiyo ila kwa wakati ninaotaka ndiyo umuhimu wa simu, sasa mpaka itokee nimkute sehemu ndiyo nimle alafu ukute siku hiyo nishakula mzigo mwingine inakua siyo tamu.
 
Nataka kula mzigo ndiyo ila kwa wakati ninaotaka ndiyo umuhimu wa simu, sasa mpaka itokee nimkute sehemu ndiyo nimle alafu ukute siku hiyo nishakula mzigo mwingine inakua siyo tamu.
Halafu anaonekana mtamu huyo,, usiwe mlafi sana lakini! Kama umekula kwingine si unatulia siku hiyo mkuu?
 
Back
Top Bottom