Kaninyima namba ya simu ila mzigo kanipa simuelewi

Kaninyima namba ya simu ila mzigo kanipa simuelewi

jini hilo.....halafu anajua huna hata ya kutolea haina haja ya kukupa namba
 
jini hilo.....halafu anajua huna hata ya kutolea haina haja ya kukupa namba
Sehamu ninayomkutaga ni sehemu ambapo mimi naenda kuchukua vifaa duka la jumla na yeye pia yuko na mishe hizohizo so anajua mpunga ninao wa kumpa
 
Kuna manzi simuelewi sijui ana agenda gani yani nimemsomesha hadi kanipa mzigo nikamuomba namba ya simu kakataa katakata, tukionana ananipa mzigo bila tatizo ila namba yake amegoma kabisa kunipa.

Huyu atakua ana shida gani? Kuna mda huwa natamani nimpigie napata shida sana yani hadi nikutane naye ndio anipe mzigo.
Lengo lako ni Mzigo au namba za simu? Mbona wengine hamueleweki? Simu ya Nini unataka kurusha hela
 
Ww shida yako pussy au namba.
Angalia cha muhimu.
 
Kuna manzi simuelewi sijui ana agenda gani yani nimemsomesha hadi kanipa mzigo nikamuomba namba ya simu kakataa katakata, tukionana ananipa mzigo bila tatizo ila namba yake amegoma kabisa kunipa.

Huyu atakua ana shida gani? Kuna mda huwa natamani nimpigie napata shida sana yani hadi nikutane naye ndio anipe mzigo.
mkuu atakua jini huyo sio binadamu..
 
Bora angeninyima namba kuliko mateso anayonipa kushindwa kuwasiliana nae alafu nimemuelewa ile mbaya alafu mtamu sasa kuna mda huwa natamani kuwa nae nashindwa.
Tangaza ndoa
 
Ukikuta naye usimwambie ishu za kukupa namba fanya kama umeshapotezea au kusahau. Sasa mkiwa mnapovunjia amri ya 6 ficha simu yako then badae anza kuitafuta kuwa kama ume panic hivi hujui kama ulikuwa nayo then ghafla mwombe simu ujibipu

Akikunyima basi huyo ni hatari sana kwako achana naye maana Vaselin au kifo kinakusubiri mahali
 
We bila shaka ni wale madomo zege na wazee wa nyeto, wasiopata mademu. Kama vipi nunua vitafunio tuu
Kama hii story ni ya kweli basi wewe demu kakudharau kakuona huna maana,siku ya kwanza alipokwambia hana simu,wewe kama Mwanaume ungemnunulia,na hapo sio kwamba alikua hana simu bali alikua anakupima tu,

Sasa hivi ameamua akutumie kama Sex toy tu,

Hata jambo dogo kama hilo unakimbilia kuja jf kuuliza? Ama kweli wanaume tunazidi kupungua kila kukicha.
 
Kama hii story ni ya kweli basi wewe demu kakudharau kakuona huna maana,siku ya kwanza alipokwambia hana simu,wewe kama Mwanaume ungemnunulia,na hapo sio kwamba alikua hana simu bali alikua anakupima tu,

Sasa hivi ameamua akutumie kama Sex toy tu,

Hata jambo dogo kama hilo unakimbilia kuja jf kuuliza? Ama kweli wanaume tunazidi kupungua kila kukicha.
Sawa mimi sex toy basi, kwani si nataka namba yake nimtombe vizuri ninapokuwa na nyege shida yako nini
 
Back
Top Bottom