Kaninyima namba ya simu ila mzigo kanipa simuelewi

Ana Mwanaume mwingine na huyo Mwaume ameshamchoka huyo mwanamke, wewe unakula makombo tu, mwezako ameshaichoka
 
Yaani akupe mzigo bila mawasiliano? Hii ni chai
 
Siku ambayo sijui muda wala wakati wa kuonana nae
Mkionana naye bila kutarajia unauchuna kidogo! Unampa hai tu ila usije kuwa na maneno mengi ukampandisha nyege afu umuache!... Utachukiwaa, na hapo ndio itakuwa mwisho wa kuyaona mapaja yake live
 
Mwambie unataka kupeleka posa kwao atakupa mpaka namba ya baba yake.
 
Ana Ukimwi au unataka ukimstukia kuwa anakuambukiza kusudi umtafute?.ndo hataki hicho
 
Unataka mzigo au unataka namba ya simu?
Ni vzr kujua mahitaji yako....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…