Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nalikubonaa ulibalembalemba bajiluchilo ba jf, lekaga bumama hukuchanagula milanga 😉Ole ntumbafu..🤣
Abi chene hangi[emoji23]Shenji gete..[emoji1787]
Kweli umerogwa,ukarogeka.Nipe Namba yake nimsisitize kuwa aendelee kukupenda zaidi.Sahau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Dah biti lako km uko serious vile.Nilikuwa namchimba biti tu huyu
Kwamba uliyonayo imekuroga ukarogeka siyo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Niliyonayo imenifunga spana zote sihitaji kabisa zingine
Yaaan mtu unakunjwa kama tairi sio vizuriKwamba uliyonayo imekuroga ukarogeka siyo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Unanikumbusha miaka kadhaa iliyopita nilimTomB@-gA mama mmoja basi Kuna siku tulipeana mikito hadi alinitukana akaniambia huna adabu kbs uToMb@jl gani huu mpaka unaniliza mtu mzima miye jaman we mwanaume mmmmmhhhhh!
😂😂😂😂 Haya natulia tuli niwaachie mapenzi yenu ya hirizi pumuzi..
[emoji23][emoji23][emoji23] Aliwahi kukuletea shida??.Huyo jamaa ukimuachia anakupiga za uso..[emoji1787]
Hujui kuwa mimi ni Mzee wa Kanisa??, Naweza kumshauri mpenzi wako akawa mtu mzuri zaidi.Never
Awiwww😍somebade son kwisha habari yakeSio kwa kutumia mizimu!,bali kaniroga kwa utamu utamuni.
Sauti yake tamu hulindima mithiri ya bubujiko la chozi lenye kuleta furaha!.
Jina lake zuri nimeliandika katika kikiminika cha damu yangu!,ngozi yake haina ajenda ya ulaghai bali hunigusa na kunikaribisha kwa kuniambia "karibu mume wangu nikupe tamu yangu".
Macho yake mazuri huongea vile anavyonipenda!,hayajawahi kunidanganya maana hayafanani na uongo!.
Huwa nafurahi akiniambia anakiu!,kwani napenda nimpatiapo maji koo lake huyagugumia maji kiulaini huku akipumua kwa hisani ya jina langu kenzy..!
Naam hakika kaniroga!..
Nampenda mpaka najionea wivu! nimemuahidi kumuonyesha maana nzima ya Mapenzi, na si kumuonyesha ushenzi ambao mwisho wake huaribu utenzi.
Kirogo chako binti wewe kimenilevya,mbele zako nishakuwa Teja!.
Napenda unavyonitishia ati utakuja kunimeza!! Nami nakuambia nitajilegeza tayari kwa kumezwa!.
Utani wako wakupendeza,hakika siwezi kuubeza.
Nitalitaja jina lako sio tu kama mke bali mwenye nafasi ya undani wangu,mwenye kuijua hali ya mwili wangu na hata pumzi ya uhai wangu.
Ni wewe tu malaika wangu usiechoka kuniambia "NAKUPENDA" na ni Mimi tu nisiechoka kukuambia "NAKUPENDA PIA MKE WANGU"😊
NAKUPENDA SANA KOMAMANGA WANGU.
Siyo vizuri.Mtaachana tuu
Nina ombi langu mkuuMaybe that's what love is... Having someone who guides you through different experiences, coaxes you to try news things but still makes you feel crazy over love....😅