skfull
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 2,944
- 2,383
Kweli kabisa inaonekana alikuwa anafanya kukuridhisha ili akuweke sawa umsikilize kumbe mzee mzima una akili timamu kila Jambo linatakiwa liende na mstari Sasa anaona unamchelewesha huyu ukimuwezesha akasimama imara atakusumbua Sana anaonekana ni mbinafsi Sana dah pole Sana mkuuUyu ndo alivyo,
Nikiwaambia mamaJ sio wife material huwa mnaniona nakosea Sana.
Umeyaona mwnyw mkuu[emoji4]