Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Ha ha ha ...ndo alivyo Sasa mamaJ.
Yeye akifoka foka hivo, baada ya MDA anatulia TU mwnyw.

Nikimfata tukafanya kimoja, ndo anasahau kabisa tunaanza upya[emoji4]
Mapenzi ya hivi ni matamu, mnagombana weee alaf sex inakua ndio patanisho lenu
 
Kwani kilikua na ubaya gani akianza na iyo 2.8, Tatizo lake uyu maisha ya kuiga,Anataka kuanzia juu wkt hata msingi wa kuuza karanga Hana.

Mi Mwnyw nmeanza na mil.7, unajaribu kuigawa hata haigawanyiki magepu kila Kona. Ila nmepambana mpk nmekuza mtaji.

Tatizo la uyu nikimuendekeza kila anachotaka nayumbisha mtaji wangu, afu nafilisika KABISA.

Lazima niende na mahesabu makali nisiathiri mzunguko wangu.
Sema Mangi umekamatika masawee[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom