Kweli kabisa inaonekana alikuwa anafanya kukuridhisha ili akuweke sawa umsikilize kumbe mzee mzima una akili timamu kila Jambo linatakiwa liende na mstari Sasa anaona unamchelewesha huyu ukimuwezesha akasimama imara atakusumbua Sana anaonekana ni mbinafsi Sana dah pole Sana mkuuUyu ndo alivyo,
Nikiwaambia mamaJ sio wife material huwa mnaniona nakosea Sana.
Umeyaona mwnyw mkuu[emoji4]
Ha ha ha.....nimegundua mama j alikuwa anakuuzia kidimbwi
kule kuhangaika kote na kumuita sexy machine kumbe alikuwa yupo kazini
[emoji23][emoji23] leo ukweli umejulikanaa
rudisha mahaba kwa mkeo atakupa gem poa kuliko huko ulikokuwa unanunua
Uyu Ni mwanamke wa makasheshe, ndo Maana suala la ndoa au KUZAA na yeye kila nikifikiria nasita.Kweli kabisa inaonekana alikuwa anafanya kukuridhisha ili akuweke sawa umsikilize kumbe mzee mzima una akili timamu kila Jambo linatakiwa liende na mstari Sasa anaona unamchelewesha huyu ukimuwezesha akasimama imara atakusumbua Sana anaonekana ni mbinafsi Sana dah pole Sana mkuu
Yah ni kweli mkuuUyu Ni mwanamke wa makasheshe, ndo Maana suala la ndoa au KUZAA na yeye kila nikifikiria nasita.
Bila kubadili atanisumbua Sana mbeleni
Aiseee maisha haya mtu anapoteza pesa zaid ya 50k kizembe mkuu huyu ni tajiriAisee kuna watu wana hela za mchezo..😌
Ila kwanini hujamnunulia gas na weweWifi yako uyu haishi vituko, katoa povu la kufa mtu.
Leo nmeona Nimuache, ntamuendea kesho akiwa karelax kwanza hasira zake zipoe[emoji4]
Ndio na ukumbuke ameshashauriwa kuzaa je unajua mengine aliyoshauriwa akayaweka akiliniInamaana aliweka nongwa[emoji848]
naangalia hapo massage anavyolalama.Kwann mkuu[emoji848]
Huyu hajawa tu na majukumu ya kulea ukitaka kujua mwoe uone naye atakua mvivu hadi utashangaa.Kiukweli,
Wife mikiki mikiki Hii ya kila siku Hawez,
Hata pia kufanya MDA mrefu yeye hapendi.
Kwaiyo Mara nyingi ananicha njiani, keshachoka.
MamaJ anapumzi sana afu analoa MDA wote Yuko attention kufanya, afu mwili wake ananyumbulika mifupa yake Ni milaini Sana.
Uyu hata tukienda misibani au kwny sherehe mbali mbali. anaweza kukuomba tusogee pemben ainue hata mguu kidg nikamfanye kidogo akili ikae sawa Kisha turejee kwny shughuli.
MamaJ Ni mtu wa Kupenda kusex sana, tofaut na wife
Uyo walivurugana moja kwa moja na saluni kahama kabisaUkienda usisahau kutupa mrejesho,Vipi hivi yule Mama wa Saloon aliye mupa ushauri wa azae na yeyote bado wana ushosti na Mama J au ndo ulivuruga mazima ?
Huwa najitahidi kusoma thread yote na comment zote[emoji16]
Mazingira hayaruhusu,imebidi nicheke tu mkuu....ila uliahidi ndg kamilisha ahadi ya watu...kumbuka hukumtahadhalisha kama kutakuwa na emergency yeyote na makubaliano yalikuwa hayo hayo ambayo wewe ulimlazimisha ayafanye na kweli upande wake katekeleza
wewe ndio wa kulaumiwa tekeleza ahadi
Ungempa tuKanishtukiza, hajatoa taarifa mapema