Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Aisee [emoji848] kweli unapitia misuko suko. Afu nimependa unavyomjibu kama hujasoma vile ayo matusi [emoji16]
Nilitaka kumuonesha kua huu mchezo hauhitaji hasira[emoji4]
 
Sema tu we jamaa una muda wa kuchezea.
Mtu asiige hii kitu we muda wa kuchezea unao mwingi sana. Mwingine akiiga soon atafilisika vibaya sana.
Kwann Tena mkuu,
SI unaenda TU na bajeti zako[emoji848]
 
Kumbe haya mambo kweli deepond? Mie nilijua ni CHAI.
 
Sawa lakini mkuu si huo mda unaoutumia.
Anautumia vizuri sana,Maana mambo yake yanaenda kama alivyo yapanga[emoji1787].


[emoji13][emoji13][emoji13] halafu unakuta Jf yuko online mara kibao tu si mchana si usiku na ana comment kwenye thread ,Sasa unajiuliza ana yafanya Saa ngapi yote hayo [emoji23]

#MAMBO YAKE MWACHIE MWENYEWE.
 
Ila manamake yametushinda ujajnja asee, yani wananufaika vingi sana kwenye mahusiano, af sisi ni kumwaga tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo maana wanatuita madanga
Tunapigwa sana matukio ya fedha!!
 
Kua jf online hakuwez kunizuia kufanya Ishu nyngn, Ni suala la dkk TU kuchungulia kilichojiri na kureply.

Kwny kuandika nyuz ndefu Mara nyng nakua ofsin na natumia computer kutype, kwahiyo nakua fasta Zaid.

Kwa kifupi jf
Haiathiri KABISA shughuli zangu,
Vinginevyo iwe Ni Ishu serious inayohitaji kuweka Simu chini na kuconcentrate. Mfano: kuzungumza na mtu, kufanya mapenz au kuendesha barabaran.[emoji4]
 
Apo hujaona yu mbeleni mam j yupo kwa ajili tu ya hela zako ukiishiwa atajitenga nawe mbalii hatavukimfungulia hilo dukaa akifanikiwa atakudharau na kukuona hufai kwa sababu anacho
 
Apo hujaona yu mbeleni mam j yupo kwa ajili tu ya hela zako ukiishiwa atajitenga nawe mbalii hatavukimfungulia hilo dukaa akifanikiwa atakudharau na kukuona hufai kwa sababu anacho
Hawez leta ujeuri,
Akileta ujanja ujanja namfilisi anabaki sifuri, ananijua vizur uyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…