Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dawa ya moto ni moto lakini hata maji machafu yanazima moto ndugu mwenyekiti.
Ukishaona makelele mengi hivo ujue hapo ni hasira tu lakini kimoyomoyo wivu upo na ukienda unaloweka tena
Nataka jion niende nikalimalize
 
IMG_0570.jpg
 
Duuh....! Wewe DeepPond mbona kama una nyege zilizopitiliza mkuu?.

Pili,japo simkubali ksbb amekaa kimaslahi sana. Lakini huyo ni kama mkeo. Hukupaswa kumfanyia hivyo. Hakika umemuonyesha dharau.
 
Duuh....! Wewe DeepPond mbona kama una nyege zilizopitiliza mkuu?.

Pili,japo simkubali ksbb amekaa kimaslahi sana. Lakini huyo ni kama mkeo. Hukupaswa kumfanyia hivyo. Hakika umemuonyesha dharau.
Sikufanya mkuu,
Japo yeye ndo kashinikiza
 
Back
Top Bottom