Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Aisee [emoji848] kweli unapitia misuko suko. Afu nimependa unavyomjibu kama hujasoma vile ayo matusi [emoji16]
 
Uyu Mchepuko Wala hata hanipi presha, Nammudu KABISA [emoji4]
Kama vipi hiyo 2.8M kausha usimrudishie ujue ametafuna zako nyingi sana. Mwambie umepata tukio umeitumia hiyo hela uone atareact vipi.

Trust me ukimfungulia hilo duka atakuacha mchana kweupe na atakupeleka police uwekewe vikwazo hata kukanyaga dukani kwake. Huyo hafai ni money oriented.
 
Unaanzia kwa Rose...

Then kwa majasmine


Mean mkeo anaambulia makombo.....


I wish mkeo angekuwa humu atupe story jinsi anavyokunjwa huko na kukunjika!!!!

Anyway

Maisha mafupi

Kila mtu atumie sehemu zake za siri kwa starehe zake!!!!!!
 
Kama vipi hiyo 2.8M kausha usimrudishie ujue ametafuna zako nyingi sana. Mwambie umepata tukio umeitumia hiyo hela uone atareact vipi.

Trust me ukimfungulia hilo duka atakuacha mchana kweupe na atakupeleka police uwekewe vikwazo hata kukanyaga dukani kwake. Huyo hafai ni money oriented.
Aaah wapi,
Uyu kumuacha bado Sana, bado Niko nae Sana.Hana jeuri yoyote ile[emoji4]
 
Back
Top Bottom