Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama vipi hiyo 2.8M kausha usimrudishie ujue ametafuna zako nyingi sana. Mwambie umepata tukio umeitumia hiyo hela uone atareact vipi.Uyu Mchepuko Wala hata hanipi presha, Nammudu KABISA [emoji4]
Namhurumia mkewe....Sijui ni Mimi tu?! Yaan naumia maisha unavyoyaendesha kama nimekuzaa.Dah
Mke ana kadi ya gari inayoendeshwa na mchepuko.Kama ni kweli basi mchepuko kakutawala sana kuliko mke
Hujui utamu wewe mkuu!!!Huu ni ufala.
Ila mwanamke hawezi akanitukana na kesho nikaamka namjulia hali.
Huu ni ujinga.
Aaah wapi,Kama vipi hiyo 2.8M kausha usimrudishie ujue ametafuna zako nyingi sana. Mwambie umepata tukio umeitumia hiyo hela uone atareact vipi.
Trust me ukimfungulia hilo duka atakuacha mchana kweupe na atakupeleka police uwekewe vikwazo hata kukanyaga dukani kwake. Huyo hafai ni money oriented.
Aligoma kuanza na Iyo iyo 2.8Ila mchepuko huyu hana akili kabisa
Kachukua 2.8m kakupa
Huo mtaji angeanza nao na alishalipia fremu
Mara paaap unakufa....
Anakosa vyote!!!!
Ndo chanzo cha yoteKipind kill kweli nilikosea