Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Nishawahi kuambiwa hivyo...

Povu kama lote alafu " Number yangu futa kabisa" hahahaha
Ha ha ha....Mara nyingi huwa Ni mikwara iyo.

Uyu mamaJ sio Mara moja anasema hivyo,
Tena saa nyingine ananiblock KABISA, nami nikakaa kimya baadae hasira zake zikiisha ananitoa block na kunipigis mwenyewe[emoji4]
 
Ha ha ha....Mara nyingi huwa Ni mikwara iyo.

Uyu mamaJ sio Mara moja anasema hivyo,
Tena saa nyingine ananiblock KABISA, nami nikakaa kimya baadae hasira zake zikiisha ananitoa block na kunipigis mwenyewe[emoji4]
Hakika, ni kawaida sana... Ukitabasamu unaonekana unadharau...
 
Kwa hili sina hakika...
Serious mkuu,
Uyu mwanamke nammiss Sana.

Ni mwanamke flan ukiwa nae haboi, sarakasi haziishi na haishi uchokozi,

Yaan tukiwa wote hata Kama Hana Cha Maana cha kufanya, Basi atachukua hata vidole vyake anichezee tu ndevu.

Au achukue hata vijiti vya mskioni anitoe uchafu maskioni, au anioshe na kunikata kucha.

Au awashe mziki na kunichezea mziki akiwa uchi, ili mradi TU nisitulie na kupumzika.

Ndo Maana nikiwa nmechoka huwa sipend kwa mamaJ, kule Hakuna utulivu. Lazima atakugusa hapa na pale.

Nikitaka kupumzika naenda zangu nyumban, Maana mama watoto hanaga complications [emoji4]
 
Back
Top Bottom