Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukanivimbia, ungekua na uwezo wa kunipiga ungenitoboa macho...Hahaha si enzi zile
Ulinikera lakini ila yashapita tayar
Nishamwambia nataka picha za mama j nimjue...Hahahh hapana zinasemaje😆😆😆
Usije ukamuiga tafadhali maana sitak uwe na mama j😁
Sawa mkuuSio rahisi mkuu,
Mimi na mamaJ tumepima na tuko salama, tunapekua Bila wasiwasi.
Istoshe Mimi sio mtu wa Michepuko mingi, ninao wawili TU. MamaJ na rose.
Hahahah nisingefanya hivo hata maana najua ugomvi wa kupigana ungeishia vipi 😁😁😁Ukanivimbia, ungekua na uwezo wa kunipiga ungenitoboa macho...
Nikicheka unanimbia nina dharau sana...
Sawa kaka mkubwwRejea mwanZo wa Uzi, nmeziattach[emoji4]
😆😆😆😆ili utoe muongozo auNishamwambia nataka picha za mama j nimjue...
Sii unajua lakini ugomvi hua naumalizaga vipi...Hahahah nisingefanya hivo hata maana najua ugomvi wa kupigana ungeishia vipi 😁😁😁
Hapana, kwa vituko vyake...😆😆😆😆ili utoe muongozo au
Nisipokua mkorofi ungekuta hatuko hapa… ukorofi uko pale pale mpenzi nivumilie tuuHapana, kwa vituko vyake...
Ila hata wewe mkorofi...
Ana lake jambo huyoUyu jamaa mkorofi Sana, kila Uzi wa mamaJ anaomba picha yake[emoji28]
Tunaganga yajayo sweetheart...Nisipokua mkorofi ungekuta hatuko hapa… ukorofi uko pale pale mpenzi nivumilie tuu