Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Atamletea maradhi mkuu
Sio rahisi mkuu,
Mimi na mamaJ tumepima na tuko salama, tunapekua Bila wasiwasi.

Istoshe Mimi sio mtu wa Michepuko mingi, ninao wawili TU. MamaJ na rose.
 
Hahahh hapana zinasemaje[emoji38][emoji38][emoji38]
Usije ukamuiga tafadhali maana sitak uwe na mama j[emoji16]
Rejea mwanZo wa Uzi, nmeziattach[emoji4]
 
Ukanivimbia, ungekua na uwezo wa kunipiga ungenitoboa macho...

Nikicheka unanimbia nina dharau sana...
Hahahah nisingefanya hivo hata maana najua ugomvi wa kupigana ungeishia vipi 😁😁😁
 
Ila mama J kanchekesha wallah
Wifi yako uyu haishi vituko, katoa povu la kufa mtu.

Leo nmeona Nimuache, ntamuendea kesho akiwa karelax kwanza hasira zake zipoe[emoji4]
 
Back
Top Bottom