Tetesi: Kanisa jipya Dar, Waumini wasali wakiwa uchi

Tetesi: Kanisa jipya Dar, Waumini wasali wakiwa uchi

Heshima kwenu wadau wa JF;

Naomba kuanza kwa kusema hakuna biashara isiyokuwa na wateja duniani, Haipo!, Biashara zote zinawateja wake hata kama utaamua kuuza maganda ya ndizi yatanunuliwa tu…….Tumia fursa

Mfano huo ulivyo Imenidhihilishia hata katika IMANI ZETU huwezi kuamini kwamba, kila Imani haikosi waumini hata kama ukianzisha kanisa la kusali miguu juu kichwa chini watakuja tu kama kondoo;

Kuna kanisa moja jiji dar- kigamboni 6.2km kusini-mashariki kutoka stand ya daladala kigamboni, limeanzishwa siku chache ambapo husali uchi wa mnyama peeh, kanisa hili viongozi wake ni pamoja na Yule jamaa aliyekuwa akinadi kuwa HOUSE GIRL/Shemeji/secretary wako au mjakazi wako wa kike ni halali kumtafna. Kanisa hilo lililoibuka upya ambapo kwa taarifa za kiinteligensia nilizopata leo ni ibaada ya nne naya mwisho kwa kigamboni, Ibaada zao huanza saa 6 usiku napengine hukesha kabisa na wakiwa wamezima taa, mmoja wa waumini aliye kuwa akinishawishi nije ibadani leo ili nione miujiza, kaniambia wanasali wakiwa uchi kwakuwa nguo nyingi ni mitumba ambapo zina unajisi huko zilikotoka na hata viwanda vingi huzitengeneza kwa nguvu za giza ili ziuzike haraka,kaongeza kuwa tunafanya hivo kwakuwa kwanza tulizaliwa bila nguo,adam na eva walipata neema kipindi walipo kuwa uchi ,MUUMINI huyu kanipa ubuyu mwingi ila kasisitiza isitoshe nguo zinakuwa zimepita kwingi hazifai kabisa kuomba ukiwa nazo PIA wanafanya kama ilivyo kwa imani zingine wavuapo viatu na kutawaza Waingiapo, maandiko ya kutafna mfanyakazi wa kike katoa kitabu cha IBRAHIMU ….ingawa aliniambia wanafanya kwa siri kutokana na waafrika wengi ni wapingaji, ambapo hata hawahitaji kibari cha serikali ili kusajili na kuliendeleza kanisa hili wao ni mbele kwa mbele. Kaniambia husali mwezi mmoja mmoja kila eneo na kuhama ili wasijulikane, mara nyingi husali Kigamboni,Tandika,Pugu,Kibaha,Mbezi,Sinza na Tegeta kwa kuzunguka mwezi hadi mwezi kila jumapili saa 6 usiku. Na kanisisitiza wapo hadi wakubwa wan chi hii…..Nimeelezwa mengi kwakuwa nilionyeshwa ushirikiano wa kutaka kujua ingawa wanapenda kulinda siri zao na hujulishana kwa sms tena wana lugha zao……..sasa je Hivi hizi dini zipo kwa ajili ya kuwakomboa binadamu kweli? Maana pia nimemkumbuka na Yule aliyetangazwa na BBC huko CONGO kwamba anajiita ni mungu wa tatu, na anawaumini wa kutosha….sasa kwa hili ibada saa 6 usiku leo labda waache kwa post hii.
Mbona hilo ni kanisa la kwanza kabisa!! hukumbuki enzi za hawa na adam ktk bustani ya eden ya kuwa nyoka aliwadanganya? ndiyo wakaanza kujiona wapo uchi kwa sababu ya dhambi waliyotenda? hivyo kwa yeyote ashangaaye kanisa hili ni kwa sababu ya dhambi zake.
 
Hii inanikumbusha kwenye utawala wa Bill Clinton mwaka 1993 kuna jamaa alianzisha ushenzi kama huu ni jambo chafu na lilikemewa sana na jamaa walipigwa baada ya serikali kuona wamekiuka maadili kabisa ilichukua masiku mengi na waliuwawa wafuasi 70 na kitu.

Sasa na hawa washughulikiwe kabla hawajaleta laana zaidi

1454264071285.jpg
 
Mmmmh uchi kabisa itabidi niende nikaone hayo majaabu hawapigani miti lkn alafu usiku isije ikawa wanageuzana tuu na tamaa yazimwa mwee
 
Heshima kwenu wadau wa JF;

Naomba kuanza kwa kusema hakuna biashara isiyokuwa na wateja duniani, Haipo!, Biashara zote zinawateja wake hata kama utaamua kuuza maganda ya ndizi yatanunuliwa tu…….Tumia fursa

Mfano huo ulivyo Imenidhihilishia hata katika IMANI ZETU huwezi kuamini kwamba, kila Imani haikosi waumini hata kama ukianzisha kanisa la kusali miguu juu kichwa chini watakuja tu kama kondoo;

Kuna kanisa moja jiji dar- kigamboni 6.2km kusini-mashariki kutoka stand ya daladala kigamboni, limeanzishwa siku chache ambapo husali uchi wa mnyama peeh, kanisa hili viongozi wake ni pamoja na Yule jamaa aliyekuwa akinadi kuwa HOUSE GIRL/Shemeji/secretary wako au mjakazi wako wa kike ni halali kumtafna. Kanisa hilo lililoibuka upya ambapo kwa taarifa za kiinteligensia nilizopata leo ni ibaada ya nne naya mwisho kwa kigamboni, Ibaada zao huanza saa 6 usiku napengine hukesha kabisa na wakiwa wamezima taa, mmoja wa waumini aliye kuwa akinishawishi nije ibadani leo ili nione miujiza, kaniambia wanasali wakiwa uchi kwakuwa nguo nyingi ni mitumba ambapo zina unajisi huko zilikotoka na hata viwanda vingi huzitengeneza kwa nguvu za giza ili ziuzike haraka,kaongeza kuwa tunafanya hivo kwakuwa kwanza tulizaliwa bila nguo,adam na eva walipata neema kipindi walipo kuwa uchi ,MUUMINI huyu kanipa ubuyu mwingi ila kasisitiza isitoshe nguo zinakuwa zimepita kwingi hazifai kabisa kuomba ukiwa nazo PIA wanafanya kama ilivyo kwa imani zingine wavuapo viatu na kutawaza Waingiapo, maandiko ya kutafna mfanyakazi wa kike katoa kitabu cha IBRAHIMU ….ingawa aliniambia wanafanya kwa siri kutokana na waafrika wengi ni wapingaji, ambapo hata hawahitaji kibari cha serikali ili kusajili na kuliendeleza kanisa hili wao ni mbele kwa mbele. Kaniambia husali mwezi mmoja mmoja kila eneo na kuhama ili wasijulikane, mara nyingi husali Kigamboni,Tandika,Pugu,Kibaha,Mbezi,Sinza na Tegeta kwa kuzunguka mwezi hadi mwezi kila jumapili saa 6 usiku. Na kanisisitiza wapo hadi wakubwa wan chi hii…..Nimeelezwa mengi kwakuwa nilionyeshwa ushirikiano wa kutaka kujua ingawa wanapenda kulinda siri zao na hujulishana kwa sms tena wana lugha zao……..sasa je Hivi hizi dini zipo kwa ajili ya kuwakomboa binadamu kweli? Maana pia nimemkumbuka na Yule aliyetangazwa na BBC huko CONGO kwamba anajiita ni mungu wa tatu, na anawaumini wa kutosha….sasa kwa hili ibada saa 6 usiku leo labda waache kwa post hii.


Tatizo la kuiga Nigerians sasa limefika pabaya. Ndiyo maana I never trust any pastor no matter who he/she is, they are simply actors who can change at any given moment kurubuni waumini wao.
 
MBONA MM NASALI KWA MTUMISHI HUYO! NABII TITO, KIGAMBONI? HAKUNA HIVYO VITU MSIPOTOSHE UMMA. AU NDO KUCHAFUANA?
 
[Kama ni kweli], kwa hiyo mmoja wa viongozi wa hilo kanisa ni Nabii Tito? Kama ni huyo basi wala sishangai.

Lakini pia, [kama ni kweli] hilo kanisa linadhihirisha ni jinsi gani kwa kiasi kikubwa watu wanaoamini amini mambo ya mungu walivyo na akili ndogo.

Kuna wengine huwa wanatumia hadi nyoka kwenye ibada zao na wanahalalisha matumizi hayo kwa kurejea vifungu vya agano jipya.

Sasa huo kama siyo uwendawazimu ni nini?


Namfahamu sana Tito, alikuwa kinyozi hapa Arusha alikuwa na kibanda cha Saloon hapa makao mampya karibu na limpopo, baadae akaendesha tax sana hapa stand ndogo, then akapotea kwa muda mrefu na kuja kuibukia kwenye Unabii, ila unabii wake ni wa kuhalalisha kunywa pombe, kahalalisha pia house girl kuwa msaidizi wa mkeo kwa mambo yote hadi ya faragha, bangi pia kwake ni mmea halali kwa biashara,
Sasa mi sishangai kama Nabii Tito kaazisha kanisa la kusali ucku, basi huyu ataisumbua sana serikali
 
utumwa wa akili (mental slavery) ni mbaya sana, na hapo ndipo adui (shetani) anapo ingiza watu king. mwingine huko kenya kaungua mwili kisa eti walikuwa wanamtoa pepo kwa kumchoma moto.

imani haiondoi akilii
 
Jipya kwako mbona lipo Simu nyingi likapigwa marufuku seme limerudi tena
 
Daaah''ninavyozijua ngunga zangu,yan tuwe uchi afu mbele yangu kuwe na muumin wa kike kafungasha balaa!!nadhan mahubir yatakua km wanampigia mbuzi gitaa!
 
Jamani huu uyoga wa makanisa utatufikisha pabaya serikali na wananchi kwa ujumla tusipokemea.dah,kusali uchi!!!
 
Heshima kwenu wadau wa JF;

Naomba kuanza kwa kusema hakuna biashara isiyokuwa na wateja duniani, Haipo!, Biashara zote zinawateja wake hata kama utaamua kuuza maganda ya ndizi yatanunuliwa tu…….Tumia fursa

Mfano huo ulivyo Imenidhihilishia hata katika IMANI ZETU huwezi kuamini kwamba, kila Imani haikosi waumini hata kama ukianzisha kanisa la kusali miguu juu kichwa chini watakuja tu kama kondoo;

Kuna kanisa moja jiji dar- kigamboni 6.2km kusini-mashariki kutoka stand ya daladala kigamboni, limeanzishwa siku chache ambapo husali uchi wa mnyama peeh, kanisa hili viongozi wake ni pamoja na Yule jamaa aliyekuwa akinadi kuwa HOUSE GIRL/Shemeji/secretary wako au mjakazi wako wa kike ni halali kumtafna. Kanisa hilo lililoibuka upya ambapo kwa taarifa za kiinteligensia nilizopata leo ni ibaada ya nne naya mwisho kwa kigamboni, Ibaada zao huanza saa 6 usiku napengine hukesha kabisa na wakiwa wamezima taa, mmoja wa waumini aliye kuwa akinishawishi nije ibadani leo ili nione miujiza, kaniambia wanasali wakiwa uchi kwakuwa nguo nyingi ni mitumba ambapo zina unajisi huko zilikotoka na hata viwanda vingi huzitengeneza kwa nguvu za giza ili ziuzike haraka,kaongeza kuwa tunafanya hivo kwakuwa kwanza tulizaliwa bila nguo,adam na eva walipata neema kipindi walipo kuwa uchi ,MUUMINI huyu kanipa ubuyu mwingi ila kasisitiza isitoshe nguo zinakuwa zimepita kwingi hazifai kabisa kuomba ukiwa nazo PIA wanafanya kama ilivyo kwa imani zingine wavuapo viatu na kutawaza Waingiapo, maandiko ya kutafna mfanyakazi wa kike katoa kitabu cha IBRAHIMU ….ingawa aliniambia wanafanya kwa siri kutokana na waafrika wengi ni wapingaji, ambapo hata hawahitaji kibari cha serikali ili kusajili na kuliendeleza kanisa hili wao ni mbele kwa mbele. Kaniambia husali mwezi mmoja mmoja kila eneo na kuhama ili wasijulikane, mara nyingi husali Kigamboni,Tandika,Pugu,Kibaha,Mbezi,Sinza na Tegeta kwa kuzunguka mwezi hadi mwezi kila jumapili saa 6 usiku. Na kanisisitiza wapo hadi wakubwa wan chi hii…..Nimeelezwa mengi kwakuwa nilionyeshwa ushirikiano wa kutaka kujua ingawa wanapenda kulinda siri zao na hujulishana kwa sms tena wana lugha zao……..sasa je Hivi hizi dini zipo kwa ajili ya kuwakomboa binadamu kweli? Maana pia nimemkumbuka na Yule aliyetangazwa na BBC huko CONGO kwamba anajiita ni mungu wa tatu, na anawaumini wa kutosha….sasa kwa hili ibada saa 6 usiku leo labda waache kwa post hii.
Wewe ni MDAKU first class.
 
Hahahaaa....kuna siku nilikutana na mchungaji wao pale survey alikuwa anagawa vipeperushi eti linaitwa kanisa la mpapaso
 
ha ha ha ha ha ha ha ndio maaana mvua haisheshi au ikinyesha radi kubwa au mafuriko
 
Back
Top Bottom