Tetesi: Kanisa jipya Dar, Waumini wasali wakiwa uchi

nilishawahi kusema hapa uwepo wa kanisa hili ila watu waknicrush
 
lazma bangi iwe inahusika inaelekea amechanganyikiwa huyu baba
 
Hahahaaa....kuna siku nilikutana na mchungaji wao pale survey alikuwa anagawa vipeperushi eti linaitwa kanisa la mpapaso
ndio huyu mang'aa wa kiume hawa ndo wanazidisha hasira za mungu ati kuna tumpapase bwana
 
MBONA MM NASALI KWA MTUMISHI HUYO! NABII TITO, KIGAMBONI? HAKUNA HIVYO VITU MSIPOTOSHE UMMA. AU NDO KUCHAFUANA?
khe nimeshaona kipeperushi kina picha ya housegirl wake na mkewe na hayo maneno huyu tito ndo asasema mwenyewe unasali kiaje hebu turekodie ibada yenu ili tujiridhishe
 
Hilo kanisa nikisali nitakua kitu mnara muda wote wa ibada
😀😀😀😀😀😀😀 gizaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa huoni kitu ila kuna kakipindi kanaitwa tumpapase bwana anaingia nabii na wanawake woote...kwanza halafu wanaume mnafwata baadae
 
khe nimeshaona kipeperushi kina picha ya housegirl wake na mkewe na hayo maneno huyu tito ndo asasema mwenyewe unasali kiaje hebu turekodie ibada yenu ili tujiridhishe


Karibu pm! Ntakupeleka ukajirekodie mwenyewe ibada hii takatifu ya nabii titto halafu ulete mrejesho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…