Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha Padre Rwegoshora kufuatia tuhuma za kuhusika mauaji ya Asimwe Novath

Wakatoliki ni Mashetani
Kuna huyu Father Kit Cunningham, alifira sana vijana wa wakatoliki wa Tanzania miaka ya 60 na 70, mpaka Queen Elizabeth alimvua heshima ya MBE

 
Ujinga huu ndo ulinifanya kaa mbali na kanisa hili, kuna ubabaishaji wa ajabu sana msione wapo ndani ya majoho. Hakuna raha za dunia wazizofanya labda wale wa zamani ila sio hawa G - z
Julize kama kweli uyu mpumbavu ambae ni Padri anashiriki toa roho ya kiumbe asie kuwa na hatia kisa tu yupo na utofauti wa ngozi nyeusi , alafu Jiulize hata kama ni utajiri angepata kwa imani yake potofu je ni kwa ajili ya nani?

Maana inajulikana mapadri ,masista , maaskofu , n.k hawatakiwi kuoa , jamiana, au kuwa na michepuko , so huo utajiri angempelekea nani , shezi zake kabisa , watu wajinga wa namna hii inatakiwa kuchomwa moto live kabla ya ule wa mbinguni

Fikiria uyu malaika amekufa katika mateso gani, je walimua na kuchomoa viungo vyake ,au alichomolewa viungo vyake akiwa hai, na je kama aliuliwa then chomolewa viungo vyake , maumivu kifyo chake ilikua na maumivu kiasi gani?


Nalia sana ,Mungu ampumzishe uyu dogo pema pepon , ila dam yake itatafuna kizazi hadi kizazi kwa yoyote alie husika asema Bwana
 
Haya wale wajinga waliokuwa wanatetea uovu na upumbavu wa huyu padri wako wapi?

Mara eti sio padri!!

Kuna wakatoliki ni wapumbavu sana hata paroko akibaka wake zao au kulawiti watoto wao, Bado wata mtetea paroko.
Acha tu, tuwaonee huruma wafuasi kama hao kwani tupo katika enzi za giza kubwa kuliko hata ile miaka ya 400.

Dini za kweli tuwaombee sana hawa wenzetu ili watoke katika inyororo.
 
Juu ya sheria zipi mkuu?
Ukatoliki ukogo juu ya sheria zote - za mbinguni na duniani; hata za kwake zenyewe.

Ndiyo maana kuna amri ya papa akiwa kwenye kiti (ex cathedra) na akiwa anazurura tu huko mitaani.

It means ikitokea akaropoka boko fulani mtaani, anawahi kwenye kiti chake cha kikasisi na kubatilisha alichotamka awali.

Au kama alishasema kitini, basi boko zingine zote asemazo mtaani hazihesabiki hata kama zingenaswa na media kubwa kama BBC na CNN.
 
130. Na nani atajitenga na mila ya Ibrahim isipo kuwa anayeitia nafsi yake katika upumbavu? Na kwa yakini Sisi tulimteuwa yeye katika dunia; na hakika yeye katika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema.
(Qur'aan 2:130)
 
 
Tunaomba taarifa zaidi kuhusu Fr Elipidius Rwegeshora.

Je ana tabia za kihalifu kama pombe, uzinzi na uhuni?
 

Nakubaliana na wewe asilimia 100. Kanisa la leo limejaa kutukuzwa na kusifiwa wakubwa na wengine hawataki hata Mwenyezi Mungu apewe nafasi ya kwanza kama astahili.
Na wanaojaribu kumpa Mwenyezi Mungu nafasi yake, wanaburuzwa na kupewa maisha magumu sana. Sishangai kuona haya yaliyotokea. Na mengi yanaendelea yanayoliaibisha kanisa
 
Mbona uwa mnasema waislam ni MAGAIDI. Na wewe jichunguze kama unaakili au umejaza matope.

Nani kasema waislamu magaidi? Kuna waislam wengi wema sana. Hawana shida na mtu.
Ila kuna baadhi yao kweli ni magaidi. Wanatumia vibaya mafundisho ya dini kuua wenzao, pengine hata waislamu wenzao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…