Vp khs ufisadi kwa viongozi, kwan huko hakuna udahili? Hii ipo kila mahali ht kwenye familiaPadre kufikia hatua hiyo ina maana kuna shida kwenye udahili wa hawa viongozi wa KANISA, watu wanaingia upadre bila wito bali shida za familia zao ndio zinawapeleka kanisani kwa imani ya maisha mazuri.
Noma sana monde arabeNa kuna wapuuzi walikuwa wanatetea kuwa sio karoko 😔
Chifu kuna vitu mtu anaweza akateleza hili la huyu Padre limevuka mipaka yote yaani kwa jinsi wanavyodahili nashindwa hata kuelewa ilikuajeMungu yupo ndani mwako,,,,kwenye hizi dini ndo walozi wengi wamejificha humo,,,,,na wanacheza sana na saikolojia za waumini wao, ukienda kichwakichwa unachezea ndoige za kutosha
hilo jina lina ukakasi kwenye uraia, nimewaza tu.Padre kufikia hatua hiyo ina maana kuna shida kwenye udahili wa hawa viongozi wa KANISA, watu wanaingia upadre bila wito bali shida za familia zao ndio zinawapeleka kanisani kwa imani ya maisha mazuri.
Mmmh kama nishaanza kukujua hivi😂 ebu weka code nyingine tenaUlisema unaishi Liwale kwa mbele
Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha kutoa huduma za kichungaji Padri, Elipidius Rwegoshora kufuatia tuhuma zinazomkabili za kuhusika katika mauaji ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Asimwe Novart.
Askofu wa Jimbo Katoliki Bukoba, Jovitus Mwijage ametangaza uamuzi huo kupitia gazeti la Kiongozi linalotolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), toleo lake la Juni 21 -27, 2024
Gazeti hilo limemnukuu Askofu Mwijage akikiri kuwa mtuhumiwa ni padri wa jimbo lake na amemsimamisha kutoa huduma zote za kichungaji mpaka hapo suala lake litakaposhughulikiwa na vyombo vya sheria.
“Tunahuzunishwa na taarifa ya mauaji ya Asimwe, kwani sisi kama Kanisa Katoliki ni walinzi wa kwanza wa uhai wa wanadamu. Tunaiombea familia yake na kuiombea roho yake ipate pumzio la amani mbinguni.
“Hata hivyo, tumesikia taarifa ya watuhumiwa na mmojawapo akiwa ni Padri Rwegoshora. Ni kweli padri huyo ni wa jimbo Katoliki Bukoba na tumechua uamuazi wa kumsimamisha kutoa huduma zote za kichugaji mpaka hapo suala lake litakaposhughulikiwa na vyombo vya sheria.
“Baada ya vyombo vya sheria kumaliza kazi yake, ndipo taratibu nyingine za kanisa zitafuata,” amesema Askofu Mwijage.
Asimwe menye umri wa miaka miwili na nusu alinyakuliwa mikononi mwa mama yake na watu wasiojulikana Mei 30, 2024 katika Kijiji cha Bulamula, Muleba mkoani Kagera.
SitakiMmmh kama nishaanza kukujua hivi😂 ebu weka code nyingine tena
Ukimaliza usemeKwa sasa Kanisa Katoriki ni Pango la mashetani! Linahusishwa na uovu wa kila namna mf.Umafia,Madawa ya kulevya,ushoga,Mauaji,nk
Ukisema Paroko maana yake na Kanisa linahusikaWatakuja na staili nyingine ya kujitetea na ili ionekane sio Jambo zito
😂Basi usiniquote wakati sikujuiSitaki
Una matatizo gani? Kwani lazima😂Basi usiniquote wakati sikujui
shida watoto wa mud wanasemaga wote ni wagalatia, hawatofautishi walokole wala wa mataifa.Nikajua wewe ni mlokole kama mimi
Tuachane naoshida watoto wa mud wanasemaga wote ni wagalatia, hawatofautishi walokole wala wa mataifa.
Akili zako hazitumiki sawasawaUkisema Paroko maana yake na Kanisa linahusika