Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha Padre Rwegoshora kufuatia tuhuma za kuhusika mauaji ya Asimwe Novath

Mungu yupo ndani mwako,,,,kwenye hizi dini ndo walozi wengi wamejificha humo,,,,,na wanacheza sana na saikolojia za waumini wao, ukienda kichwakichwa unachezea ndoige za kutosha
Chifu kuna vitu mtu anaweza akateleza hili la huyu Padre limevuka mipaka yote yaani kwa jinsi wanavyodahili nashindwa hata kuelewa ilikuaje
 

Interesting. Nataka kujua imetokeaje huyu jamaa akasoma na kumaliza masomo ya upadre, mpaka akapewa daraja la upadre. Ushirikina wake haukouonekana?
Je malezi ya seminary yamebadilika? Liberation theology is damaging the curch, left and right. Kweli kanisa limeoza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…