Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Huyu anaonekana hakua na wito kabisa ,alikuja na yakeChifu kuna vitu mtu anaweza akateleza hili la huyu Padre limevuka mipaka yote yaani kwa jinsi wanavyodahili nashindwa hata kuelewa ilikuaje