Kanisa katoliki lijitafakari

Kanisa katoliki lijitafakari

Nenda palokian waeleze watafanyia kazi maon yako
Kama kweli kanisa halijawa compromised lijitafakari Ni Mara nyingi kanisa limeteleza haijaanza Leo.

Kanisa likishawahi kuuwa wanasasansi nadhani alikuwa Galileo au Corpenicus sikumbuki vema kisa aliamini kinyume na kanisa kwamba dunia ilikuwa duara.

Kanisa katoliki Tanzania kama kweli dhamira yenu inaongozwa na Roho Mtakatifu basi mjitafakari mara mbili juu ya uamuzi wenu wa kufumbia macho uhalifu uliofanywa na serikali kwenye zoezi la uandikishaji uchaguzi wa serikali za mitaa.

Uhusiano binafsi unaotajwatajwa humu kati ya nyaisonga na magufuli hauna afya kwa kanisa hata kidogo na mtakuwa sehemu ya lawama Mambo yakiharibika.

Mwisho mjitafakari kama bado mna moral authority na credibility ya kula sadaka za waumini wenu wakati mnafumbia macho wanasiasa wanaobaka demokrasia yao?
 
Kama kweli kanisa halijawa compromised lijitafakari Ni Mara nyingi kanisa limeteleza haijaanza Leo.

Kanisa likishawahi kuuwa wanasasansi nadhani alikuwa Galileo au Corpenicus sikumbuki vema kisa aliamini kinyume na kanisa kwamba dunia ilikuwa duara.

Kanisa katoliki Tanzania kama kweli dhamira yenu inaongozwa na Roho Mtakatifu basi mjitafakari mara mbili juu ya uamuzi wenu wa kufumbia macho uhalifu uliofanywa na serikali kwenye zoezi la uandikishaji uchaguzi wa serikali za mitaa.

Uhusiano binafsi unaotajwatajwa humu kati ya nyaisonga na magufuli hauna afya kwa kanisa hata kidogo na mtakuwa sehemu ya lawama Mambo yakiharibika.

Mwisho mjitafakari kama bado mna moral authority na credibility ya kula sadaka za waumini wenu wakati mnafumbia macho wanasiasa wanaobaka demokrasia yao?
Hawa wanafanya sana biashara hivyo lazima wajiweke karibu na sirikali ili wasamehewe kodi etc. Vile mukulukulu in wakwao basis ndio kabsaaa Kabsa mbe!!
 
Mbona kawaida tu,kanisa linaangalia masilahi yake Kwanza tangu zamani,
Benitto mussoline was Italy ndo alitoa plot ya kujenga vatcan.
Kanisa lilifanya kazi na mfalme costantine,kiongozi wa ujerumani bwana Hitler.
Hakuna jipya
 
Hawa viongozi wa Kikatoliki kuishi bila kuoa kuna "impair" uwezo wao wa kikatoliki. Ndio maana kwenye mila za kabila letu ukiwa mtu mzima halafu huna mke hushirikishwi kwenye vikao vya vya familia vya kutoa maamuzi ya masuala muhimu ya kifamilia!
Umeandika kweli tupu mkuu, nashangaa hata wanapata wapi guts za kufundisha mambo ya ndoa na familia wakati wao wenyewe hawana familia.
 
Kiukweli RC wamepoteza dira.wasiwasi wangu mambo yakienda Kombo watakuwa sehemu ya lawama..
 
Kama kweli kanisa halijawa compromised lijitafakari Ni Mara nyingi kanisa limeteleza haijaanza Leo.

Kanisa likishawahi kuuwa wanasasansi nadhani alikuwa Galileo au Corpenicus sikumbuki vema kisa aliamini kinyume na kanisa kwamba dunia ilikuwa duara.

Kanisa katoliki Tanzania kama kweli dhamira yenu inaongozwa na Roho Mtakatifu basi mjitafakari mara mbili juu ya uamuzi wenu wa kufumbia macho uhalifu uliofanywa na serikali kwenye zoezi la uandikishaji uchaguzi wa serikali za mitaa.

Uhusiano binafsi unaotajwatajwa humu kati ya nyaisonga na magufuli hauna afya kwa kanisa hata kidogo na mtakuwa sehemu ya lawama Mambo yakiharibika.

Mwisho mjitafakari kama bado mna moral authority na credibility ya kula sadaka za waumini wenu wakati mnafumbia macho wanasiasa wanaobaka demokrasia yao?
Hebu nikuulize kiukweli kabisa, ni wapi kwenye injili kanisa limepewa mamlaka kusimamia watawala? Je, hayo ni majukumu ya kanisa?

Tumebariki kanisa kuacha majukumu yake na kujipa majukumu ya kisiasa kitu ambacho si bora kwa afya ya kanisa. Kanisa na Kaizari wapi na wapi!! Nioneshe kwenye biblia ni wapi kuhubiri injili kumehusisha vuguvugu la kisiasa.
 
Hebu nikuulize kiukweli kabisa, ni wapi kwenye injili kanisa limepewa mamlaka kusimamia watawala? Je, hayo ni majukumu ya kanisa?

Tumebariki kanisa kuacha majukumu yake na kujipa majukumu ya kisiasa kitu ambacho si bora kwa afya ya kanisa. Kanisa na Kaizari wapi na wapi!! Nioneshe kwenye biblia ni wapi kuhubiri injili kumehusisha vuguvugu la kisiasa.
Viongozi wa dini wanakuwa na moral authority ya kusimama altareni Kama wana uwezo wa kukemea uovu kwenye maisha ya waumini wao ; kilichofanywa na gvt kwenye serikali za mitaa Ni uovu wasipokemea Mambo yakiharibika wanajumuishwa kwenye lawama.
 
Mkililaumu kanisa mnalikosea heshima bure, wakulaumiwa ni Mbowe. Mbowe amecheza mchezo wa kitoto sana amehamisha magori mchana kweupe. Mbowe hataki kutoka madarakani ameamua kutumia uchaguzi wa serikali za mitaa kuwa ndio ngao yake, yaani Mbowe yupo pembeni tu anawazoom jinsi mnavyomfagilia njia yake ya ufalme chamani
Mkuu upstair uko sawa kabisa? Hujui kilichovuruga zoezi zima la huu uchaguzi? Unatania au umemaanisha? Jitafakari na ujue kuwa huitendei haki nafsi yako.
 
Viongozi wa dini wanakuwa na moral authority ya kusimama altareni Kama wana uwezo wa kukemea uovu kwenye maisha ya waumini wao ; kilichofanywa na gvt kwenye serikali za mitaa Ni uovu wasipokemea Mambo yakiharibika wanajumuishwa kwenye lawama.
Ni mtazamo wako lakini sio kibiblia. Kama serikali italishambulia kanisa kwenye majukumu yake, hapo litasimamia imani. Lakini nje ya hapo, serikali huongozwa na watu w imani tofauti, ndio maana si vema kila imani ikajitokeza kulazimisha mambo fulani. Kumbuka Yesu alikuwepo kipindi taifa lake likiwa chininya watawala warumi, hakuwahi kupambana na wakoloni hao, why? Haikuwa mission yake, utawala wake SI WA DUNIA HII. Bali makanisa mengi hii leo yameacha msingi wa injili na kufanya uasherati na wanasiasa.
 
Hukumbuki hao watu waliouliwa na Kanisa Katoliki na hata kisa kilichofanya wauwawe pia hukikumbuki lakini umepata guts za kusema Kanisa limeuwa! Is that fair Mkuu? Kwa maoni yangu umepotoka

Tanzania kuna madhehebu kadhaa ya dini na madhehebu yenye waumini wengi ni Kanisa Katoliki na Waislamu. Inakuaje umechagua kutoa maneno makali dhidi ya Taasisi moja tena angalau yenye historia ya kukemea maovu huko nyuma lakini hukugusia taasisi kama BAKWATA ambao sio tu wapo kimya lakini huunga mkono jambo lolote la Wanasiasa wa Chama Tawala liwe baya na ovu kwa watu au vinginevyo?
Mkuu kiufupi kanisa katoiliki halikumuaa Galileo lakininlilimpa misukosuko mingi sana ikiwemo kifungo then kuwekwa kizuizini nyumbani kwake na hili lawezekana lilichangia maradhi yake na hatimaye kifo kabla ya kupofuka na kupata matatizo mengine yya kiafya. Kesi ambayo RC walimshtaki nayo ilikuja onekana Galileo Galilei yuko sahihi kabisa kuwa Jua halizunguki bali dunia ndiyo inalizunguka jua na kujizungusha katika muhimili wake.
 
Upinzani mnabidi kujitafakari kama bado mnafaa kuwepo kwenye siasa za nchi hii.

Hamna mnachofanya kikafanikiwa.
 
Hahaha wewe kweli nzi wa kijana wapigaji na waporaji wa nchi wapo wapii,zaidi ya pale lumumba,mnakalia kupiga Makofi kwa mfalme kila analolisema ngoja siku aseme wate mvae sidiria ndio mtajua haki zenu.
Kanisa haliwezi tetea wala ruzuku wasiotaka kufanya uchaguzi ndani ya vyama vyao
 
Pumba,Serikali za mtaa na mboe wapi na wapi
Mkililaumu kanisa mnalikosea heshima bure, wakulaumiwa ni Mbowe. Mbowe amecheza mchezo wa kitoto sana amehamisha magori mchana kweupe. Mbowe hataki kutoka madarakani ameamua kutumia uchaguzi wa serikali za mitaa kuwa ndio ngao yake, yaani Mbowe yupo pembeni tu anawazoom jinsi mnavyomfagilia njia yake ya ufalme chamani
 
Separation of church and state. Hata hayo matamko wa maaskofu ni kwa sababu tu wana uhuru wa kutosha. Kanisa linahubiri injili ya Kristo sio siasa. Tukienda hivyo hatutafika
Injili ya kristo inafundisha kanisa likae kimya na kuungana na wauaji, wanaudhulumu haki, ha kuwasifu bila kikomo kuwa wanafanya vyema sana. Kwamba wanatakiwa wasifiwe na wote waungwe mkono. TUONDOLEE USHETANI HAPA KAHUBIRI KUZIMU KWA WACHAWI WENZIO
 
Hili kanisa si ndilo lenye kashfa ya ulawiti wa watoto?
Ndio maana pengo anampigia chapuo makonda shoga awe rais!
 
Kanisa limepata viongozi wa hovyo kabisa kupata kutokea, huyo Nyaisonga sijui ni mdudu gani kwa kweli. Yaani badala ya kuongea vitu ambavyo vitaliweka taifa pamoja yeye anakwenda kuongea vitu vinavyoleta mipasuko katika taifa.

Nguvu ya Kanisa inatokana na waumini wake sasa subiri waone watakavyobaki peke yao, kumbe kelele zote zile za wakati wa Kikwete zilisikika sababu ya uungwana na upole wake, sasa hivi chuma kinaongoza nchi Kanisa limeukana wajibu wake mara tatu kabla Jogoo halijawika, kama kulikuwa na jambo la kukaa na kusuluhisha basi kanisa ndiyo lilipaxwa kuziita pande mbili hizo ili kusuluhisha badala ya kuutaka upinzani unaoonewa eti uitishe suluhu.

Kumbe Tundu Lissu yupo imara zaidi ya kanisa? Mbowe ambaye anayepitia misukosuko mingi ya kuwekwa ndani, kuharibiwa mali zake, kunyang'anywa mali zake kumbe yupo imara kuliko viongozi wa Kanisa ambao wao wanajali hadhi zao tu na si hadhi ya
Mlnilikuwa Mkatoliki na toka nimeacha kwenda kanisani na nimejitoa kwa kila kitu moyo wangu una imani sana .......na fanya mambo bila hofu ya Mungu wa kanisa katoliki.... viongozi wa dini wametengana na watering wetu kutuumiza Sasa ni muda wa kujiongoza Hawa ndo waliotufundisha samehe saba mara sabini...... Yaaani we uniulie ndg zangu u wapiga risasi wengine vilema, unitesee unavyotaka na unapiga mbaazi we ndo serikali ..... u natumia makanisa...... tukuombee subiri pigo takatifu..... tumeshaanza na makanisani tunayasusia kama tulivyosusia uchaguzi hadi muvue majoho tusote wote
 
Kanisa katoliki Tanzania kama kweli dhamira yenu inaongozwa na Roho Mtakatifu basi mjitafakari mara mbili juu ya uamuzi wenu wa kufumbia macho uhalifu uliofanywa na serikali kwenye zoezi la uandikishaji uchaguzi wa serikali za mitaa.
Acha nongwa,waliokatwa wote si wamerudishwa?
Hii ni big suprise,kanisa limetafakari,limekataa kuchukua mihemko ya kisiasa
Nenda kapige kura,kama hutaki kaa nyumbani uangalie katuni na watoto
 
Injili ya kristo inafundisha kanisa likae kimya na kuungana na wauaji, wanaudhulumu haki, ha kuwasifu bila kikomo kuwa wanafanya vyema sana. Kwamba wanatakiwa wasifiwe na wote waungwe mkono. TUONDOLEE USHETANI HAPA KAHUBIRI KUZIMU KWA WACHAWI WENZIO
Hujui ulisemalo na ulichoongea kimeonyesha ufinyu wa fikra zako. Kanisa halihusiani na siasa, fanyeni siasa acheni kulilia makanisa. Kanisa si chama cha siasa, ni makosa sana. Hicho ukitakacho ni upofu wako na hiyo kuzimu yako, soma biblia nawe utaishi.
 
Madhehebu ni KKKT na ADVENTISTS pekee hawa wengine ma kahaba tu wa Imani ndo maana unakuta wanajifanya watawa lakini vimada kibaoo

Catholic church investigating after two nuns became pregnant while working in Africa


Read more: Catholic church investigating after two nuns fall pregnant

Twitter: Metro (@MetroUK) | Twitter | Facebook: Metro


 
Pengo anazidi kutia pilipili kwenye vidonda ndoa ya kanisa na serikali za kidictator hazitaishia kwa Benito !!
Pengo alikuwa alikuwa ni siyo kiongozi mzuri wa kanisa. Hakujaaliwa busara bali chuki tupu
 
Back
Top Bottom