kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,875
Unataka nchi iharibike mara ngapi! Viongozi wa dini ni wachumia tumbo tu hawana lolote. Ni wasabato pekee ndio hawaruhusu ujinga huo makanisani kwao kwa sababu hawategemei misaada ya serikali na wanasiasa kuendesha mambo yao
Kijana Rais ni raia ila siyo raia kama wewe kwa dhamana aliyo nayo, rais ni nchi
Mwadhama Cardinal Polycarp Pengo.
Uliza Wakatoliki juu ya hicho cheo watakuelekeza wadhifa alionao Cardinal Pengo.
Niulize wakatoliki gani wakati mwenyewe ni mkatoliki? Pengo ni ASKOFU WA JIMBO KUU LA DSM, JOESPHAT LEBULU NI ASKOFU WA JIMBO KUU LA ARUSHA (Hawa wote wana nafasi sawa). Maaskofu wasidizi mabosi wao ni hao maaskofu wakuu. Hakuna bosi wa maaskofu Tanzania. Hamna askofu mwenye mamlaka kisheria kupitisha jambo na likafanyiwa kazi na wenzake wote ISPOKUWA TEC yenye maaskofu wote. PENGO kuwa kardinali haimpi ubosi kwa maaskofu wengine.
UKITAKA KUJUA JIFUNZE, UKARDINALI INAJITOKEZA TU PALE PANAPOTAKIWA ISSUES ZA KUWAKILISHA KANISA LA TANZANIA KWENYE MAMBO YANAYOAMULIWA HUKO VATICAN.