and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Mbona polisi wana maisha magumu sana halafu wanatumikishwa kufanya kazi za kipuuzi?
Unakuta polisi hana hata matumaini ya kupata mlo wa kesho lakini wanavyotumikishwa na wanasiasa unawaonea huruma.
Nimeanza kuamini kwanini wanaotakiwa huko ni Div 5.
Wanahitaji watu wenye uwezo mdogo ku reason.
Unakuta polisi hana hata matumaini ya kupata mlo wa kesho lakini wanavyotumikishwa na wanasiasa unawaonea huruma.
Nimeanza kuamini kwanini wanaotakiwa huko ni Div 5.
Wanahitaji watu wenye uwezo mdogo ku reason.