Kanisa Katoliki Parokia ya Msimbazi Centre lazingirwa na Polisi ili kumkamata John Mnyika

Kanisa Katoliki Parokia ya Msimbazi Centre lazingirwa na Polisi ili kumkamata John Mnyika

Hii ndio Taarifa ya Sasa, tukiachana na zile porojo za RPC wa Dar kwamba Mnyika Hawindwi, Inakuwaje asiyewindwa aviziwe kanisani na kuvuruga Ibada za Watu?

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeweka kambi kwenye viwanja vya Kanisa Katoliki Parokia ya Msimbazi Centre, kumsaka Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika ambaye yuko kwenye Ibada ya maombi kanisani hapo kwa siku kadhaa sasa.

Soma Pia: Maandamano ya CHADEMA: Jeshi La Polisi lathibitisha kukamata waandamanaji 14 ikiwemo viongozi wa CHADEMA


Kanisa Katoliki Msimbazi Center liko chini ya Ulinzi Kwa masaa mengi mno.
Wastage of public funds
 
Ukiwauliza hao polisi hapo wanafanya haya kwa sheria zipi hakuna hata mmoja anayejua yanapelekwa pelekwa tu kama nyumbu na ndio maana yakistaafu yanakuwa na maisha magumu
Tunawalaumu tu POLISI hawafanhi hivi kwa kupenda wenyewe Tatizo lipo kwenye Katiba yetu, Jeshi lipo chini ya viongozi wa kisiasa Kama, mkuu wa mkoa wa wilaya, Makada wa Chama tawala na kadhalika, Kwahiyo Wakati mwingine wanapokea amri haramu lakini kutokana na katiba yetu haiwapi ulinzi wa ajira zao basi wanabidi watii. Ila jeshi letu ni Jeshi lenye weledi na ujuzi wa hali ya juu sana ndiyo maana pamoja na mapungufu yake lakini tunaweza kuishi kwa Amani. Halishindwi kuchunguza swala lolote lile na linajua kila kitu.
 
Hii ndio Taarifa ya Sasa, tukiachana na zile porojo za RPC wa Dar kwamba Mnyika Hawindwi, Inakuwaje asiyewindwa aviziwe kanisani na kuvuruga Ibada za Watu?

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeweka kambi kwenye viwanja vya Kanisa Katoliki Parokia ya Msimbazi Centre, kumsaka Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika ambaye yuko kwenye Ibada ya maombi kanisani hapo kwa siku kadhaa sasa.

Soma Pia: Maandamano ya CHADEMA: Jeshi La Polisi lathibitisha kukamata waandamanaji 14 ikiwemo viongozi wa CHADEMA


Kanisa Katoliki Msimbazi Center liko chini ya Ulinzi Kwa masaa mengi mno.
Huko kwenye Imani ya Dini wasikngilie kabisa.

Mnyika anakwake, anaofisi yake wakamsubu
irie huko.

Siyo kuleta taharuki kwenye nyumba za IBADA
 
Namshauri J.J Mnyika aende tu akareport Oysterbay ,hiyo kesi ya Mauaji ya Kibao haiwezi kumtia hatiani hata kidogo maana ushahidi tu wa kimazingira utaonyesha tu kwamba hausiki.

Simple tu wanasheria wake wapate print out ambayo itaonyesha wakati tukio linatokea mnyika alikuwa wapi na nani aliyempa taarifa ya hilo tukio la mauaji.

Taarifa ya awali inaonyesha kwamba baada ya Meddy kutekwa ,baadhi ya wafanyakazi waliwapigia ndugu zake meddy na hao ndugu zake ndiyo wakamtaarifu JJ Mnyika ,kwenye Print out itaonekana.

Tatu hao waliofanya tukio kupitia Cyber crime ni simple tu kuwajua ,wakifanya analysis ya numbers zilizotoka Kituo cha Magufuli na zilizobaki tegeta kibo/mjapani complex watawajua watekaji kwa 100%...Kwahiyo wanasheria wa Mnyika wawaforce polisi wafanya analysis ya numbers kujua watekaji halisi.
 
Wakati wa maandamano tuliambiwa John John Mnyika yuko kanisani pale Msimbazi Centre anapiga maombi. Mpaka leo hatujaambiwa kama ametoka.

Nashauri walio karibu naye wamwambie atoke tu. Akigoma, mtu aende pale na kiroba cha panya buku awaachie, hii itamfanya atoke.
 
Ukitaka kujua hoja yako ni ya kijinga angalia nani amekupa like mara moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule yule chawa pro max. Kuna vitu vingine aibu sana hata kama ana mtoto lazima atakua anakana si baba ake mana unakua chawa hadi unatiaaibu.
 
Hii ndio Taarifa ya Sasa, tukiachana na zile porojo za RPC wa Dar kwamba Mnyika Hawindwi, Inakuwaje asiyewindwa aviziwe kanisani na kuvuruga Ibada za Watu?

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeweka kambi kwenye viwanja vya Kanisa Katoliki Parokia ya Msimbazi Centre, kumsaka Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika ambaye yuko kwenye Ibada ya maombi kanisani hapo kwa siku kadhaa sasa.

Soma Pia: Maandamano ya CHADEMA: Jeshi La Polisi lathibitisha kukamata waandamanaji 14 ikiwemo viongozi wa CHADEMA


Kanisa Katoliki Msimbazi Center liko chini ya Ulinzi Kwa masaa mengi mno.
Kumbe siku zote huyu jamaa bado anaishi kanisani !? Maisha gani haya ya kuogopa police kiasi hicho!? Au amefanya jinai kubwa sana!?
 
Namshauri J.J Mnyika aende tu akareport Oysterbay ,hiyo kesi ya Mauaji ya Kibao haiwezi kumtia hatiani hata kidogo maana ushahidi tu wa kimazingira utaonyesha tu kwamba hausiki.

Simple tu wanasheria wake wapate print out ambayo itaonyesha wakati tukio linatokea mnyika alikuwa wapi na nani aliyempa taarifa ya hilo tukio la mauaji.

Taarifa ya awali inaonyesha kwamba baada ya Meddy kutekwa ,baadhi ya wafanyakazi waliwapigia ndugu zake meddy na hao ndugu zake ndiyo wakamtaarifu JJ Mnyika ,kwenye Print out itaonekana.

Tatu hao waliofanya tukio kupitia Cyber crime ni simple tu kuwajua ,wakifanya analysis ya numbers zilizotoka Kituo cha Magufuli na zilizobaki tegeta kibo/mjapani complex watawajua watekaji kwa 100%...Kwahiyo wanasheria wa Mnyika wawaforce polisi wafanya analysis ya numbers kujua watekaji halisi.
Sio wawa lazimishe, Bali watumie kama kigezo cha kujitoa kuhusika kwake, na kuwashutumu Polisi Kwa kutofanya kazi yao ipasavyo
 
Back
Top Bottom