Kanisa Katoliki Tanzania linapaswa kusitisha misa

Kanisa Katoliki Tanzania linapaswa kusitisha misa

Kwanini kanisa katoriki?

Kwanini Siyo misikiti na madhehebu mengine?

kwanini Siyo Bar ?


To uchafu wako

Hao wa madhehebu mengine na waislamu hawawezi kuokolewa mpaka waanze kudondoka
 
Kwa hiyo kama unaona kanisani kuna hatari bado unaenda kwa sababu hakuna tamko? Tumia akili yako, kama sehemu ina mkusanyiko (iwe kanisani, bar, sokoni etc) acha kwenda hakuna anayekuja nyumbani kukuvuta. Sio lazima tamko
Waache wanaoona poa waende, ila usiwakaribishe kwako 😀
 
kwamba tumtangulize sara shetani atajiziuka kushangaa uzuri wa sara?au mimi nimechanganyikiwa!
Utakuwa umeelewa vibaya kwa kifupi, ni kuwa shetani anaweka hofu ili tusnhindwe kumwomba Mungu maana sala na maombi ni kikwazo kwake( ni rahisi kumshinda kwa njia ya sala na mamombi).
 
Utakuwa umeelewa vibaya kwa kifupi, ni kuwa shetani anaweka hofu ili tusnhindwe kumwomba Mungu maana sala na maombi ni kikwazo kwake( ni rahisi kumshinda kwa njia ya sala na mamombi).
Kwani maombi ni lazima kanisani
 
Nimepata habari njema sana ngara katoliki wasitisha misa. Hongera sana Askofu Severine Niwemugizi kwa ushupavu ulioonesha hapa nasubiri wwngine waunge Tera.

Na pia ushawishi wengine wafunge hizo misa zao
 
Back
Top Bottom