Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa umeelewa vibaya kwa kifupi, ni kuwa shetani anaweka hofu ili tusnhindwe kumwomba Mungu maana sala na maombi ni kikwazo kwake( ni rahisi kumshinda kwa njia ya sala na mamombi).kwamba tumtangulize sara shetani atajiziuka kushangaa uzuri wa sara?au mimi nimechanganyikiwa!
Kama inafichwa fichwa wewe ulijuaje? Nani aliwahi kukwambia kuwa hili suala ni siri? Au wewe ndiye ulikuwa hujui?Alifukuzwa seminari japo huwa wanaficha ficha
Wagonjwa wa corona wanazidi kuongezeka, chukua hatuaKama inafichwa fichwa wewe ulijuaje? Nani aliwahi kukwambia kuwa hili suala ni siri? Au wewe ndiye ulikuwa hujui?
Siku zote mimi na familia yangu tunachukua hatua kama tunavyoshauriwa na Serikali.Wagonjwa wa corona wanazidi kuongezeka, chukua hatua
Mmechagua fungu jemaSiku zote mimi na familia yangu tunachukua hatua kama tunavyoshauriwa na Serikali.