Kanisa Katoliki tuondoleeni utata huu. Mtuhumiwa wa mauaji ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi ni Padri au siyo?

Kanisa Katoliki tuondoleeni utata huu. Mtuhumiwa wa mauaji ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi ni Padri au siyo?

Huyo ni padre

Jina lake limo kwenye
List ya mapadre Kagera msifiche dhambi jina lake limo list hii hapa


Rt. Rev. Bishop N.Timanywa
Rt. Rev. Bishop Desderius Rwoma
Very Rev. Fr. Almachius Rweyongeza
Rev. Fr. Vedasto Rugaijamu
Rev. Fr. Stanslaus Mutajwaha
Rev. Fr. Benedict Bigirwamungu
Rev. Fr. Nestor Kajuna
Rev. Fr. Dominic Rugemalira
Rev. Fr. Thomas Tibainuguka
Rev. Fr. Sadoth Rweyemamu
Rev. Fr. George Rwebangira
Rev. Fr. Denis Mutembei
Rev. Fr. David Kamugisha
Rev. Fr. Simon Rugeiyamu
Rev. Fr. Hubert Rwebangira
Rev. Fr. Josephat Niwagira
Rev. Fr. Solomon Bandiho
Rev. Fr. Adeltus Kamugisha
Rev. Fr. Charles Rwehumbiza
Rev. Fr. Felician Buberwa
Rev. Fr. Adeodatus Rwehumbiza
Rev. Fr. Christopher Mwoleka
Rev. Fr. Achilleus Rwehumbiza
Rev. Fr. Athanase B. Mutasingwa
Rev. Fr. Johannes Rweyemamu
Rev. Fr. Fortunatus Rutaihwa
Rev. Fr. Reginald Kashakuro
Rev. Fr. Leodigard Mwesiga
Rev. Fr. Agabus Tibenderana
Rev. Fr. Almachius Tirweshobwa
Rev. Fr. Ansgarius Shumbusho
Rev. Fr. Deodatus Tibakwasakanwa
Rev. Fr. Deogratias Mulokozi
Rev. Fr. Egidius Rweyemamu
Rev. Fr. Elpidius Rwegoshora
Rev. Fr. Faustin Kamuhabwa
Rev. Fr. Florence Rweyemamu
Rev. Fr. Gideon Rwezahura
Rev. Fr. Paschal Buberwa
Rev. Fr. Paschal Mutegaya
Rev. Fr. Pius Mulokozi
Rev. Fr. Renovatus Twin’Omukama
Rev. Fr. Traseas Rutajama
Rev. Fr. Samwel Rwegoshora
Deac. Achilleus Kiwanuka
Deac. Thomas Rutashubanyuma
Ww unakomalia sasa sisi waumini tunakwambia yule sio Padri eboo
 
Hawezi kukanwa yule sio padre. Hajawahi hata kusalisha. Msikuze vitu vya kijinga
Huyo paroko msaidizi kama yupo, Si ajitokeze hadharani mwenyewe aseme kwamba yeye sio muhusika?

Mbona hajitokezi hadharani kukana haya mashtaka anayozushiwa?

Which means, Yeye ndio muhusika mwenyewe ila wapumbavu kama ninyi ndio mnahangaika kumtetea na kujaribu kuficha ficha uovu wake.
 
Tangu zianze kesi za ulawiti kwa watoto wadogo hili kanisa sina imani nalo kabisaa

Halafu mauaji ya albino yalianza tangu enzi maana tangu zamani inasemekana albino hawafi wanapotea tu ndo kufa kwao@! Unaweza kuta viungo vyao ndo vilitumika madhabahuni, machimboni nk
 
Umeisoma vizuri hiyo sms ya pili na kuielewa au nawe unakurupuka tu?

Na mleta mada nae anataka kulazimisha iwe vile atakavyo wakati sms ya pili inajieleza vizuri tu, "mraibu aliyechukuliwa na paroko ili asaidiwe"
Hiyo meseji sio official statement ya kanisa, father kafanya kufowadi tu
 
Kwanini unafurahia sana ukisika habari hadi kuhusu wakatoliki?
Mbona ukristu hautufundishi hivyo?
Apollo, Petro na Paulo walikuwa na njia tofauti za kuhubiri injili ila waliheshimiana, kwanini nyie walokole hamuheshimu huu utofauti ikiwa Kristu anayehubiriw ni yule yule? Je huo ulokole una usafi sana kiasi hicho?

Nazidi kusisitiza aheri ya waislamu kuliko walokole
Miaka 30 ilopita mwanamuziki mzaliwa wa Dublin Ireland aliichana picha ya PAPA FRANCIS hadharani ukumbini na akawaambia "Fight the real energy" shida kubwa ilikuwa analalamikia vijana wengi wa kiume huko nchini kwake Ireland walikuwa mashoga na uongezaji wao ulikuwa wa kutisha na ilibainika Kuwa wote wamesoma seminary hivyo walikuwa wanatatuliwa marinda na maparoko, na blooder n.k angali wakiwa umri wa kindergarten na hii ni kutokana na mahojiano ya wachunguzi na mashoga husika wengine waliambiwa na maparoko wabokoaji kwamba kubokolewa is the best way of life (imagine mtoto ana 6 yrs anabokolewa na lijitu lina 50yrs halafu linamwambia huo ushenzi).

Ikumbukwe kwa nchi za ulaya jamuhuri ya Ireland ndiko ROMA CATHOLIC imetamalaki kuliko Italy, pamoja na malalamiko hayo na taarifa za uchunguzi BABA MTAKATI WA WAKATI HUO PAPA FRANCIS hakuchukua hatua zozote ndipo huyu mwanamuziki alipoonesha hisia zake miezi kadhaa baadae ndipo Vatican ikachukua hatua ya kuanza kulipa fidia kwa waathiriwa waliojitokeza.

Hivi ni taarifa kwa wafia dini mnaoamini maparoko wenu ni watakatifu na kwamba wakiguswa na kashfa mnadhani wanadhalilishwa badala ya kuangalia ukweli wa mambo na ninakutakia ubishi mwema lakini nakutahadharisha kupeleka watoto wa wadogo wa kiume seminary maana utashangaa mwanao kasoma vizuri yupo Bank fulani anatafuta mume wa kumuoa.
 
Niamini mimi hatuna mapadre washenzi washenzi
Usisahau nao ni binadamu kama tulivyo sisi maana wao siyo malaika.

Kama unavyojiona wewe smart na utashi mwema wewe huyo huyo kesho unaweza ukafanya kitu cha kustaajabisha kama hicho so kuwa padre hakumuondolei sifa hii ya ubinadamu,mimi bado nitasimama na report ya polisi mpaka itakaposemwa vingine.
 
Kama sio paroko mnalazimisha ili iweje?? Na kama ni paroko mnakataa ili iweje...
Kama yuda mwanafunzi wa Yesu aliekula nae na kukaa nae pembeni alimuuza Yesu ndo ije kuwa Paroko ambae ana mwili wa nyama na damu kama Yuda na ambae yupo katika ulimwengu uliokengeuka kama huu wa sasa...
 
Kama sio paroko mnalazimisha ili iweje?? Na kama ni paroko mnakataa ili iweje...
Kama yuda mwanafunzi wa Yesu aliekula nae na kukaa nae pembeni alimuuza Yesu ndo ije kuwa Paroko ambae ana mwili wa nyama na damu kama Yuda na aliyekatika ulimwengu uliokengeuka kama huu wa sasa...
Hata yuda alikua na mwili wa nyama na damu
 
Back
Top Bottom