Kanisa Katoliki tuondoleeni utata huu. Mtuhumiwa wa mauaji ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi ni Padri au siyo?

Kanisa Katoliki tuondoleeni utata huu. Mtuhumiwa wa mauaji ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi ni Padri au siyo?

Wanaosema kuna ubaya katoliki wengi humu sio madhehebu mengine ni wakatoliki wenyewe wakilalamika kuanzia michango kuwa mingine kuanzia ya jumuiya,tegemeza Jimbo NK na kugomewa kupewa huduma za kanisa ukiwa hutoi nk

Huko hawasalii madhehebu mengine unawaonea hao wengineo
Nimekuuliza huko kwengine unaamini ni kusafi?

Na je unapendekeza nini kwa wakatoliki wauawe au?
 
Nimekuuliza huko kwengine unaamini ni kusafi?

Na je unapendekeza nini kwa wakatoliki wauawe au?
Hakuna aliye msafi ni Mungu Tu na Yesu wake

sasa hata malaika mbinguni walikuwa karibu na Mungu wakiishi naye wakaasi sembuse paroko aliye karibu na Askofu binadamu mwenzie Askofu mnywa konyagi au K Vant

Tinachokataa ni kanisa katoliki kujifanya takatifu na kuwa mapadri na maparoko ni watakatifu kuwa hawawezi kosea na kuanza utetezi WA nguvu kupinga kuwa huyo sio padre wakati ni padre

Wangekubali kuwa padre wangeumwa malarial? Wakati ni padre kweli na hajawahi achishwa upadre
 
Msaidizi wa paroko ni paroko
Msaidizi wa msaidizi wa paroko ni msaidizi.
Msaidizi wa Askofu angemchinja zeruzeru( watu wanapenda majina mazuri,walipokuqa wanaitwa ' zeruzeru' hakuna mtu aliyewasumbua),
we ungesema,"Oh,tulijua toka zamani kwamba Gwajima ni feki."
 
Hakuna aliye msafi ni Mungu Tu na Yesu wake

sasa hata malaika mbinguni walikuwa karibu na Mungu wakiishi naye wakaasi sembuse paroko aliye karibu na Askofu binadamu mwenzie Askofu mnywa konyagi au K Vant

Tinachokataa ni kanisa katoliki kujifanya takatifu na kuwa mapadri na maparoko ni watakatifu kuwa hawawezi kosea na kuanza utetezi WA nguvu kupinga kuwa huyo sio padre wakati ni padre

Wangekubali kuwa padre wangeumwa malarial? Wakati ni padre kweli na hajawahi achishwa upadre
Kama sio padre kwanini wakubali kuwa ni Padre
 
Huyo msemaji wa polisi anapaswa kuwajibishwa kwa kuleta taharuki kwa kanisa katoliki.hakupaswa kuongea kwenye public bila kufanya uchunguzi wa kina .katudhalilisha sana waumini wa kanisa katoliki.
Yaaani Huyo Polisi apambane kumbaini mhalifu mpaka kafanikiwa kuwakamata tena Wakiwa Na viungo, badala aendelee kukomaa apate ushahidi wa kutosha juu ya Uhusika wa watuhumiwa hao Na MAUAJI ya Mtoto wetu Asimwe aanze kuwa busy eti ni Padre Au sio Padre huu ni utahira!!

Kwasisi tuliowahi kufikishwa Polisi Au court lazma Uhojiwe KAZI YAKO, Umri, unakoishi nk
Sio JUKUMU lao kuthibitisha hizo particulars zako Kama hazihusiani Na kosa Mama.

TUKUBALIANE TU MWANETU AWE PADRE ASIWE PADRE KAYAKANYAGAAAA
55836BD2-182A-418B-8C42-83FB84F9C85B.jpeg
 
mliona raha kuita kila gaidi shekhe kisa alikua msilamu vipi sasa kwa paroko

jeshi la polisi lisonge mbele na uchunguzi mengine yatajulikana
 
Halafu ishu sio jamaa ni Paroko au sio Paroko kwasababu yeye ni binadamu na siku zote binadamu hajakamilika kwahiyo ishu ya kuwa Paroko au sio Paroko HAINA MASHIKO. Waliasi Malaika Mbinguni sembuse Binadamu bhana
 
Huyo ni padre

Jina lake limo kwenye
List ya mapadre Kagera msifiche dhambi jina lake limo list hii hapa


Rt. Rev. Bishop N.Timanywa
Rt. Rev. Bishop Desderius Rwoma
Very Rev. Fr. Almachius Rweyongeza
Rev. Fr. Vedasto Rugaijamu
Rev. Fr. Stanslaus Mutajwaha
Rev. Fr. Benedict Bigirwamungu
Rev. Fr. Nestor Kajuna
Rev. Fr. Dominic Rugemalira
Rev. Fr. Thomas Tibainuguka
Rev. Fr. Sadoth Rweyemamu
Rev. Fr. George Rwebangira
Rev. Fr. Denis Mutembei
Rev. Fr. David Kamugisha
Rev. Fr. Simon Rugeiyamu
Rev. Fr. Hubert Rwebangira
Rev. Fr. Josephat Niwagira
Rev. Fr. Solomon Bandiho
Rev. Fr. Adeltus Kamugisha
Rev. Fr. Charles Rwehumbiza
Rev. Fr. Felician Buberwa
Rev. Fr. Adeodatus Rwehumbiza
Rev. Fr. Christopher Mwoleka
Rev. Fr. Achilleus Rwehumbiza
Rev. Fr. Athanase B. Mutasingwa
Rev. Fr. Johannes Rweyemamu
Rev. Fr. Fortunatus Rutaihwa
Rev. Fr. Reginald Kashakuro
Rev. Fr. Leodigard Mwesiga
Rev. Fr. Agabus Tibenderana
Rev. Fr. Almachius Tirweshobwa
Rev. Fr. Ansgarius Shumbusho
Rev. Fr. Deodatus Tibakwasakanwa
Rev. Fr. Deogratias Mulokozi
Rev. Fr. Egidius Rweyemamu
Rev. Fr. Elpidius Rwegoshora
Rev. Fr. Faustin Kamuhabwa
Rev. Fr. Florence Rweyemamu
Rev. Fr. Gideon Rwezahura
Rev. Fr. Paschal Buberwa
Rev. Fr. Paschal Mutegaya
Rev. Fr. Pius Mulokozi
Rev. Fr. Renovatus Twin’Omukama
Rev. Fr. Traseas Rutajama
Rev. Fr. Samwel Rwegoshora
Deac. Achilleus Kiwanuka
Deac. Thomas Rutashubanyuma
Kiongozi wa dini anafanya huu upuuzi, anatakiwa kuongezewa adhabu.
Iwe funzo kwa viongozi wa dini.
Washirikina wamevamia Kanisa bila kujulikana.
Nadhani Wakatoriki wameacha ile Vetting yao ya zamani, sasa hivi wanazoa zoa tu watu wa kufanya kazi za kitume.
Padre anafantaje huu upuuzi,, 😭
Anakula, anavaa, anasafirishwa, analala bure kabisa , kwa jasho la waumini hao hao anaowatoa kafara.
Kanisa lazima litoke kutoa tamko la hili tukio.
 
Huyo msemaji wa polisi anapaswa kuwajibishwa kwa kuleta taharuki kwa kanisa katoliki.hakupaswa kuongea kwenye public bila kufanya uchunguzi wa kina .katudhalilisha sana waumini wa kanisa katoliki.
Na ndio hawa tunao waamini eti wapeleleze makosa ya watu hawa wahuni kabisa
 
Kama mpaka sasa hakuna taarifa kutoka Polisi au Kanisa kukanusha basi inawezekana huyo Padre kahusika! Kanisa kutotoa taarifa yoyote ni weakness kubwa. Hizi habari zimetrend kwenye social media na zimelitia aibu Kanisa.
 
Back
Top Bottom