Kanisa Katoliki Vatican na ushawishi wake juu ya msamaha kwa Waziri Tariq Aziz. Mkristo kindakindaki na swahiba mkuu (Inner Circle) wa Saddam Hussein

Nitaendelea next time...
Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Magufuli la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.
 
Rais Magufuli amekomesha rushwa na ufisadi.
 
Rais Magufuli anatoa funzo kubwa kwa CHADEMA.
 
Kufikia October Rais Magufuli atafikia 98%.
 
Kila la kheri leteni mgombea atakayempokonya Magufuli hata asilimia tano ya kura.
 
Kumpinga mtu Mzalendo kama Magufuli ni kujitakia dhambi tu.
 
Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema wamekuwa kama Kiba wanaomchukia Diamond.
 
Sisi Watanzania tunaenda na Rais Magufuli vyama vingine vimeamua kwenda na konyagi Shauri zao.
 
sisi Watanzania tunamuunga mkono Rais Magufuli kupinga ubeberu na kutetea Wanyonge.
 
Rais Magufuli ni kiboko ya CHADEMA.
 
Rais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania, huyo msaliti wa Nchi mrudisheni ubeligiji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…