The Assassin JF-Expert Member Joined Oct 30, 2018 Posts 4,942 Reaction score 20,077 Nov 6, 2019 #1 Kanisa katoliki limeanza uchunguzi kubaini chanzo na sababu za masista wake wawili kupata ujauzito baada ya kutembelea Africa ambap walikuja kwa kazi ya kimisionari.
Kanisa katoliki limeanza uchunguzi kubaini chanzo na sababu za masista wake wawili kupata ujauzito baada ya kutembelea Africa ambap walikuja kwa kazi ya kimisionari.
interlacustrineregion JF-Expert Member Joined Oct 28, 2018 Posts 7,134 Reaction score 7,395 Nov 6, 2019 #2 "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
STRUGGLE MAN JF-Expert Member Joined May 31, 2018 Posts 8,633 Reaction score 16,586 Nov 6, 2019 #3 Amna uchunguzi apo, mwanamke lazima azae
SPINE JF-Expert Member Joined Dec 11, 2017 Posts 1,068 Reaction score 1,150 Nov 6, 2019 #4 Kwa nini watu wanaforce R iwe L
busha JF-Expert Member Joined Jan 21, 2019 Posts 1,712 Reaction score 2,577 Nov 6, 2019 #5 sasa kama wenyewe wameamua kutoa papa shida nn,,,,
Sang'udi JF-Expert Member Joined May 16, 2016 Posts 9,138 Reaction score 22,236 Nov 6, 2019 #6 Chanzo cha habari: New York Post 🤔🤔
STRUGGLE MAN JF-Expert Member Joined May 31, 2018 Posts 8,633 Reaction score 16,586 Nov 6, 2019 #7 Sipati picha hii ishu ingelitokea upande wa2, hayo matusi yatakayoporomoshwa [emoji119]