Kanisa kenya limegeuka soko

Kanisa kenya limegeuka soko

Yuko sawa kama ni charity na hela zote zinazopatikana zinakwenda kusaidia wenye uhitaji mf. mayatima. Kama hela ni zake ni wazi atakuwa amekengeuka.

Kwa sasa sitamhukumu maana inaweza kuwa ni charity kanisa limeamua kufanya.
 
Yuko sawa kama ni charity na hela zote zinazopatikana zinakwenda kusaidia wenye uhitaji mf. mayatima. Kama hela ni zake ni wazi atakuwa amekengeuka.

Kwa sasa sitamhukumu maana inaweza kuwa ni charity kanisa limeamua kufanya.
Uja mfwatilia vizuri huyu ni comedy ibada ni kunanga watu
 
Back
Top Bottom