Kanisa kongwe Gaza limehifadhi Waislamu waliokimbia mabomu, limewapokea kwa upendo

Sio wale ulioleta jamaa kwa propaganda zako huwezi kuangusha Uislamu πŸ˜…πŸ˜…

Hakuna mtu huwa na nia ya kuangusha uislamu, hayo ni maamuzi yenu ya kiimani katika kumuabudu huyo muarabu, na kila dini ina uhuru wake wa chochote wanataka kuabudu, sasa tatizo lenu huja pale mnataka kulazimisha ugomvi na kila dini mnaishia kupigwa kisha mnalia lia kwamba uislamu unaonewa.
Hamuna uvumilivu, yaani majitu kabisa yanaandamana kupinga kanisa kujengwa.....

View: https://youtu.be/pcwvILodCKM
 
Nyie matapeli na makanisa yenu kule kenya mliua watu na mwamposa kule Kilimanjaro aliua watu ...Na eneo lilikuwa na mgogoro mbona hata Arusha stendi haijengwi kwa vile eneo lina mgogoro.
 
Nyie matapeli na makanisa yenu kule kenya mliua watu na mwamposa kule Kilimanjaro aliua watu ...Na eneo lilikuwa na mgogoro mbona hata Arusha stendi haijengwi kwa vile eneo lina mgogoro.

Hakuna aliyeua hao watu, wenyewe walijituma kwenye ujinga wao kufia huko kwa kukanyagana, ila nyie mnateka basi la abiria na kuanza kuuliza kila abiria ajibu hizo pumba za kiarabu kwenye mambo yenu, kila aliyeshindwa mkamchinja kwa kukata kichwa.........
Hiki kisa kilifanya niwaone wa hovyo sana Bus passengers massacred
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Kwa hiyo nyie ni wajinga!? je mauaji yanayofanywa na kanisa katoliki kama kule America.

Mbona huleti habari za ujinga wenu.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Kwa hiyo nyie ni wajinga!? je mauaji yanayofanywa na kanisa katoliki kama kule America.

Mbona huleti habari za ujinga wenu.

Yeah mtu yeyote asiyetumia hekima kwenye masuala ya dini ni mjinga, hata Mkristo kwa hivyo sio issue hiyo.
Lakini nyie yenu ni hatari sana mnalazimisha ugomvi na kila dini, mnaua watu kisa mliagizwa na 'mungu' wenu muarabu.
Jana mumechinja watalii Uganda, yaani sijui huyo muarabu wenu lini atatosheka damu ya watu ADF rebels kill two foreign tourists, Ugandan in Queen Elizabeth park
 
Swali mbona matatizo ya wakristo huleta kweny content zako na haujawahi kuleta.

Kwa nn kila siku unahukumu waislamuπŸ˜…?
 
Swali mbona matatizo ya wakristo huleta kweny content zako na haujawahi kuleta.

Kwa nn kila siku unahukumu waislamuπŸ˜…?

Kila dini ina matatizo yake na inapambana kivyake, ila nyie ndio hulazimisha ugomvi na dini zingine, mngekua mnapambana na mambo yenu ndani kwa ndani bila kuchinja wasiohusiana na dini yenu wala usingesikia mtu anawahoji.
 
Kanisa liwe makini awashindwi kulipwa kwa bomu, maana wapalestina bwana wanapenda sana ayo mambo yakulipuana
 
Kila dini ina matatizo yake na inapambana kivyake, ila nyie ndio hulazimisha ugomvi na dini zingine, mngekua mnapambana na mambo yenu ndani kwa ndani bila kuchinja wasiohusiana na dini yenu wala usingesikia mtu anawahoji.
Wapi tunalazimisha ? Mbona huleti wa kwenu kama sio unafikiπŸ˜…πŸ˜….

Yaani kijana hauna kipya zaidi ya kufautilia waislamu kama sio umbea .
 
Kanisa liwe makini awashindwi kulipwa kwa bomu, maana wapalestina bwana wanapenda sana ayo mambo yakulipuana

Kimsingi ni kuhakikisha kila anayeingia humo anakaguliwa haswa, halafu wanaume watengwe kila mmoja akae mwenyewe, yaani sijui kifanyike nini kuhakikisha hawaingiwi na mzuka wa hiyo dini yao.
 
Wapi tunalazimisha ? Mbona huleti wa kwenu kama sio unafikiπŸ˜…πŸ˜….

Yaani kijana hauna kipya zaidi ya kufautilia waislamu kama sio umbea .

Nimekuambia ya kwetu ni changamoto za kawaida kama ambazo zipo kwenye dini zingine, ila kwenu kila siku naleta taarifa humu mnavyochinja na kulazimisha watu wasiotaka kumuabudu huyo muarabu.
 
Nimekuambia ya kwetu ni changamoto za kawaida kama ambazo zipo kwenye dini zingine, ila kwenu kila siku naleta taarifa humu mnavyochinja na kulazimisha watu wasiotaka kumuabudu huyo muarabu.
Hakuna sehemu mtu kalazimishwa yaani nyie mkikaa uchi mkiambiwa mnasema mnalazimishwa kule Qatar mlikatazwa ushoga mnadai ni msimamo mkali.

Yule mchungaji wa kenya aliyeua watu zaidi ya 100 πŸ˜…πŸ˜…
 
Kimsingi ni kuhakikisha kila anayeingia humo anakaguliwa haswa, halafu wanaume watengwe kila mmoja akae mwenyewe, yaani sijui kifanyike nini kuhakikisha hawaingiwi na mzuka wa hiyo dini yao.
Sio dini mimi naisi ni hivyo tu walivyo ndo maana waliona jangwa ndo sehemu sahihi kuwa kwao
 
Hakuna sehemu mtu kalazimishwa yaani nyie mkikaa uchi mkiambiwa mnasema mnalazimishwa kule Qatar mlikatazwa ushoga mnadai ni msimamo mkali.

Yule mchungaji wa kenya aliyeua watu zaidi ya 100 πŸ˜…πŸ˜…

Huna ruhusa ya kumchinja mtu kisa amevaa mavazi yake, kwa mfano hao mliowachinja kwenye hili basi Kenya wakati mlikua mnawahoji hizo pumba zenu za kiarabu walikua wamewakosea nini Bus passengers massacred
 
Huna ruhusa ya kumchinja mtu kisa amevaa mavazi yake, kwa mfano hao mliowachinja kwenye hili basi Kenya wakati mlikua mnawahoji hizo pumba zenu za kiarabu walikua wamewakosea nini Bus passengers massacred
Hakuna ruhusu ya kuchinja basi hapa Tz mikoa yenye waislamu pangekuwa na mauaji sana ... Tatizo huna elimu juu ya uislamu unafuata mkumbo kama yule Max shimba ministries
 
Hakuna ruhusu ya kuchinja basi hapa Tz mikoa yenye waislamu pangekuwa na mauaji sana ... Tatizo huna elimu juu ya uislamu unafuata mkumbo kama yule Max shimba ministries

Hao huko ni kwa sababu hawafuati maagizo ya 'mungu' wenu muarabu aliyeagiza mchinje kila asiyemuabudu, nyie majitu huwa hamna uzalendo wala nini, popote mnanyea tu, kuanzia huko Kibiti mpaka Msumbiji, nakumbuka hili tukio Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho
 
Acha uongo kwa Tanzania hasa ukiondoa visiwani Zanzibar ....asilimia kubwa ya watu ukristu au uislamu jina ...wengi wanaabudu dini zao.za asili...ukristo na uislamu ni.kama utambulisho tu. so hakuna kwenye uchungu na dini Kihivyo hadi ambague mtu. ukiona hivyo ujue imetengenezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…