Kanisa Kuu mbadala wa St. Joseph kujengwa Gezaulole, Jimbo Kuu - Dar es Salaam

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Jina la Kanisa: Bikira Maria Mama wa Mungu Cathedral Umbo: Msalaba Ukubwa: 13,000sqm Idadi ya waumini 9,816 Minara mikubwa 4.

Milango 19 Altre ya walei na ya makrelo Kisima cha ubatizo Vituo vya njia ya msalaba Minara midogo 12 Sakastia 3 Maaskofu 1 Mapadre 2 Waministranti 3 Box maungamo 6 Sacrarium

Lift ya kwenda juu na basement Cathedral square ipo nje Ghorofani Waiting lounge watu 120-150 Ofisi 4 Store 4 Archive Makanisa madogo 2; Watu 200 Basement

Makaburi 12 ya chini Makaburi ya ukutani Vituo 14 njia ya msalaba Kanisa la kuabudia watu 220 Strong room Handaki.

 
Albert Chalamila yeye anasema Makanisa yafungwe amekubuhu kwerikweri
Huyo amechanganyikiwa...alipokuwa jobless alikimbilia kanisani kupata tumaini la maisha na wakamuombea...leo amesahau yote anamfurahisha bwana...wanasiasa siwapendi.....!! Askofu mmoja alimpeleka kwa Provost Tumaini akapewa ajira....tunaomjua tunamuangalia tu...
! Tunamuomba afute ile kauli sababu itaishi milele.....hana ujanja huyo msione kelele ....njaa mbayaa
 
hii kanisa ya katoliki inamaono ya mbali mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…