bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Msikiti tu kama wa magomeni b ujengikwa 1b utakua mdogo na kawaida sana.
Maybe labda kama unamaanisha 1b dollar za kimarekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msikiti tu kama wa magomeni b ujengikwa 1b utakua mdogo na kawaida sana.
Maybe labda kama unamaanisha 1b dollar za kimarekani
siku hizi wamisionari wa kigeni toka ulaya hawapo, mwendo ni kukamuana sisi kwa sisi mpaka jengo likamilike, kuanzia mwenye mia hadi milioni watatoa michangoHela za ujenzi zipo au ndio kila muumini mbatizwa kuanza kuchangia?
Tatizo kamati za ujenzi, hapa kwetu tulianza ujenzi wa kanisa kwa makadirio ya juu sana bilioni moja na nusu miaka mitano nyuma, mapaka sasa taarifa zilizopo tupo zaidi ya bilioni tano na bado jengo lipo kwenye finishing ya awaliNadhani hata wakichanga buku buku hawakosi bilioni 200 za ujenzi
true!Msikiti tu kama wa magomeni b ujengi
B 30 50 ujengi jengo Hilo.Hili jengo linaweza kuwachukua miaka 20 mpaka kukamilika kwa viwango hivi, huku gharama yake ikiwa kati ya Bil 30 - 50.
Wasabato nao wako wanapambana huku
Jina la Kanisa: Bikira Maria Mama wa Mungu Cathedral Umbo
Kweli kakubuhuAlbert Chalamila yeye anasema Makanisa yafungwe amekubuhu kwerikweri
Fungua uzi wako mkuu, acha kiherehere. SamalekoWaarabu wa Dubai watakuja kujenga msikiti mkubwa hapo kigamboni. Wenye thamani ya bilioni 1.
Waleikhum salaam rahmatullaih wabarakhatul, Sheikh mawawa.Fungua uzi wako mkuu, acha kiherehere. Samaleko
Gothic ndiyo tamuProject inaanza lini ..?
Na je ujenzi ni Gothic au ni hizi temporary za kileo??
Ngoja niendelee na upagani wangu!Bikira Maria Mama wa Mungu
Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀Jina la Kanisa: Bikira Maria Mama wa Mungu Cathedral Umbo: Msalaba Ukubwa: 13,000sqm Idadi ya waumini 9,816 Minara mikubwa 4.
Milango 19 Altre ya walei na ya makrelo Kisima cha ubatizo Vituo vya njia ya msalaba Minara midogo 12 Sakastia 3 Maaskofu 1 Mapadre 2 Waministranti 3 Box maungamo 6 Sacrarium
Lift ya kwenda juu na basement Cathedral square ipo nje Ghorofani Waiting lounge watu 120-150 Ofisi 4 Store 4 Archive Makanisa madogo 2; Watu 200 Basement
Makaburi 12 ya chini Makaburi ya ukutani Vituo 14 njia ya msalaba Kanisa la kuabudia watu 220 Strong room Handaki.
View attachment 2752329
Ameshatubu leo!Albert Chalamila yeye anasema Makanisa yafungwe amekubuhu kwerikweri