THE BROKER
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 743
- 915
Mchoro amechora Fr.Capt.Arch.Dr. Rimisho.Ni Gothic architecture?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchoro amechora Fr.Capt.Arch.Dr. Rimisho.Ni Gothic architecture?
uzuri wakatoliki ni wengi ndani ya parokia moja wakichanga hata hizo bukubuku zinazidi gharama ya ujenzi huo. Sasa hapo wakiwekwa kwenye magrupu ya kutoa milioni moja hadi elfu tano watakusanya pesa nyingi mpaka za kumlipa mkandarasi zitabakiNadhani hata wakichanga buku buku hawakosi bilioni 200 za ujenzi
Tunajiandaa na Unyakuo...Jina la Kanisa: Bikira Maria Mama wa Mungu Cathedral Umbo: Msalaba Ukubwa: 13,000sqm Idadi ya waumini 9,816 Minara mikubwa 4.
Milango 19 Altre ya walei na ya makrelo Kisima cha ubatizo Vituo vya njia ya msalaba Minara midogo 12 Sakastia 3 Maaskofu 1 Mapadre 2 Waministranti 3 Box maungamo 6 Sacrarium
Lift ya kwenda juu na basement Cathedral square ipo nje Ghorofani Waiting lounge watu 120-150 Ofisi 4 Store 4 Archive Makanisa madogo 2; Watu 200 Basement
Makaburi 12 ya chini Makaburi ya ukutani Vituo 14 njia ya msalaba Kanisa la kuabudia watu 220 Strong room Handaki.
View attachment 2752329
Ooh kumbeMchoro amechora Fr.Capt.Arch.Dr. Rimisho.
utoaji ni sehemu ya ibada, usipotoa sehemu rasmi utatoa kwa shetani tena kwa lazima ili upone shida yako. Bora utoaji wa hiari kuliko utoaji wa maagano ya kishetaniMaskini waafrika, hela zote hizo za kujenga kanisa si wajenge kiwanda kiajiri maelfu ya vijana wapate ajira na kipato. Makanisa na misikiti ni mawakala wa umaskini kwanza yanadumaza akili pili yanachukua hata kidogo walichonacho masikini eti ni sadaka na fungu la kumi.
Huu utumwa sijui utaisha lini maana yatupasa kujenga vitega uchumi vyetu kama viwanda badala ya misikiti na makanisa ambavyo ni vitega uchumi wa mwarabu na mzungu.
Tuwekee hapa huo mchoroMchoro amechora Fr.Capt.Arch.Dr. Rimisho.
Hapo ndipo mnapodanganywa. Kwahiyo kanisani unamtolea nani?utoaji ni sehemu ya ibada, usipotoa sehemu rasmi utatoa kwa shetani tena kwa lazima ili upone shida yako. Bora utoaji wa hiari kuliko utoaji wa maagano ya kishetani
Hili Kanisa lilitakiwa lijengwe Chato ninapoabudia Kila Dominika!Jina la Kanisa: Bikira Maria Mama wa Mungu Cathedral Umbo: Msalaba Ukubwa: 13,000sqm Idadi ya waumini 9,816 Minara mikubwa 4.
Milango 19 Altre ya walei na ya makrelo Kisima cha ubatizo Vituo vya njia ya msalaba Minara midogo 12 Sakastia 3 Maaskofu 1 Mapadre 2 Waministranti 3 Box maungamo 6 Sacrarium
Lift ya kwenda juu na basement Cathedral square ipo nje Ghorofani Waiting lounge watu 120-150 Ofisi 4 Store 4 Archive Makanisa madogo 2; Watu 200 Basement
Makaburi 12 ya chini Makaburi ya ukutani Vituo 14 njia ya msalaba Kanisa la kuabudia watu 220 Strong room Handaki.
View attachment 2752329
MUNGUHapo ndipo mnapodanganywa. Kwahiyo kanisani unamtolea nani?
Ulitegenea hela zitoke wapi mkuu kama siyo kuchangia.Hela za ujenzi zipo au ndio kila muumini mbatizwa kuanza kuchangia?
Wewe kama uhusiki na kudanganywa huko, kinachokuuma nini? Mbona ninyi mnaambiwa msinywe kinywaji kitamu kuliko kinywaji chochote (pombe) duniani lakini sisi hatumaindi?Hapo ndipo mnapodanganywa. Kwahiyo kanisani unamtolea nani?
Lile la Makongo ni zuri mno halafu ni kubwa. Hongereni sana Parokia ya Makongo . Halafu kuna hili ya Goba hapa Saint Joseph Secondary nalo naona ni kubwa na ujenzi wake nigumu maana naona limejengwa sehemu ambayo kulikuwa bondeni. Ila Hongereni sana ujenzi wa kanisa ni kujitoa haswa.Lile la makongo limekula zaidi ya b moja
Bilioni moja dollars za marekani au hizi bilioni za madafu.Waarabu wa Dubai watakuja kujenga msikiti mkubwa hapo kigamboni. Wenye thamani ya bilioni 1.
RC Challamila akifunga shughuli za kanisa tunageuza ukumbi wa disc 🤣Whatever the case kanisa litajengwa
Mkuu,Maskini waafrika, hela zote hizo za kujenga kanisa si wajenge kiwanda kiajiri maelfu ya vijana wapate ajira na kipato. Makanisa na misikiti ni mawakala wa umaskini kwanza yanadumaza akili pili yanachukua hata kidogo walichonacho masikini eti ni sadaka na fungu la kumi.
Huu utumwa sijui utaisha lini maana yatupasa kujenga vitega uchumi vyetu kama viwanda badala ya misikiti na makanisa ambavyo ni vitega uchumi wa mwarabu na mzungu.
Hujui wewe. Umekaa Dar utajuaje? Maeneo yanaendelea kukamatwa tu. Mipango ya muda mrefu ya kanisa haijawahi kusimama.Sema Wakatoliki wa kiafrika Sio kama wale wazungu waliokuwa wanakamata mapori makubwa kwa picha ya miaka mia ijayo.
Mkuu,Kwa kuwa dini zimesukwa na watu, Mungu wa kweli hahitaji jumba kama hilo, hizo pesa zingejenga kituo cha watoto yatima.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
$ 1,000,000,000.000Bilioni moja dollars za marekani au hizi bilioni za madafu.