Kanisa la Segerea latupiwa 'bomu' la mafuta, laungua; KKKT Kijitonyama kwaibuka hofu!

Kanisa la Segerea latupiwa 'bomu' la mafuta, laungua; KKKT Kijitonyama kwaibuka hofu!

Status
Not open for further replies.
Kuna siku vyombo vya habari vililipoti uwepo wa kiwanda cha kutengeneza mabomu nchini,na Zitto akasema wakati fulani kuwa kuna member wa m23 wanamaskani dar (kama nakosea nirekebishwe).

Kwasasa nakaa kimya mpaka nipate taarifa rasmi za nini hasa hicho kilichorushwa lakini niwaambie tu watanzania wenzangu kuwa tusianze kushutumiana na kutengeneza mgawanyiko, si kila mtu anapenda kutuona tunaishi bila vita hasa ukanda huu ambao tumezungukwa na nchi asilimia kubwa zinamachaguko au zimeshuhudia machafuko kipindi si kirefu.

Serikali ya ccm iache kulala nchi inaelekea siko kabisa.
 
Wameshindwa kujenga maeneo yao ya maana ya kusali sasa wanachuki na maeneo ya wenzao!

Mkuu hakuna haja ya mipasho, unamwogopa nani humu??!! Weka wazi unachotaka kusema, sio mafumbo mafumbo.
 
Kwa mwendo huu TZ itafika tuliko kusudia?
Sidhani kama tutafika nadhani hiyo itakua ndoto . Wamehadaaa watu wee kwa itikadi za kidini wakafaulu. Sasa sijui tumlaumu nani maana waliotuweka kwenye hali hii wao wako salama wanalindwa 24/7. Tanzania inahitaji kiongozi shupavu atakae weza kutuunganisha na kutufanya wamoja. Tena kiongozi huyo hatakiwi kuyumbishwa na kundi lolote nchini, anatakiwa kuyareduce to zero makundi yoyote yatakayoonekana hatarishi kwa amani yetu. Sasa mtu huyo mkuu tutampata leo kweli.
 
Haya Ndio. Madhara ya mihadhara ya ponda. Namnukuu " Mtu yoyote asiye mwislamu ni Kafiri, Na kila kafiri lazima auawe ili dola ya kiislamu isimame, na ukiua kafiri ili kuitetea dini ya kiislamu na ili dola ya kiislamu isimame unapata dhawabu "

Hamna cha ajabu hapo,Naona Mkakati umeanza sasa wa kuua wakristo ili dola ya kiislamu isimame kama alivyoagiza ponda...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom