Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Papa ni maarifa wa Mt. Petro. Mt. Petro alikabidhiwa Kanisa na Kristu mwenyewe. Mt 16:18.Mitume walikuwepo kabla ya kanisa katoliki.
Sijajua mitume ipi unayoiongelea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Papa ni maarifa wa Mt. Petro. Mt. Petro alikabidhiwa Kanisa na Kristu mwenyewe. Mt 16:18.Mitume walikuwepo kabla ya kanisa katoliki.
Sijajua mitume ipi unayoiongelea.
Umeaanza mahubiri 😊Mungu alishaliona ilo ndomana akaandika haya. Lenyewe linadhan linanguvu na haliitaji kitu.
Ufunuo wa Yohana 3:15-18
[15]Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.
[16]Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.
[17]Kwa kuwa wasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, na mwenye mashaka, na maskini, na kipofu, na uchi.
[18]Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane, na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona.
Unaona sasa.Kanisa Katoliki limetajwa wapi hapo?
Sasa mbona hamjihusishi na siasa kama mwili ma roho vyote ni vya Kristu, na Kristu alijihusisha na siasa?Mwili wa kanisa sio siasa ila ni Kristo
Imeandikwa wapi io kwenye biblia.Papa ni maarifa wa Mt. Petro. Mt. Petro alikabidhiwa Kanisa na Kristu mwenyewe. Mt 16:18.
Kristo alijihusisha wapi na siasa??Sasa mbona hamjihusishi na siasa kama mwili ma roho vyote ni vya Kristu, na Kristu alijihusisha na siasa?
hawako sahihi pia kuwakosoa roman catholicSidhani kama uko sahihi mkuu, SDA siyo chama cha kisiasa, kwanini iingilie mambo ya kisiasa? Pia kwa msabato wa kweli haruhusiwi kujiingiza kwenye siasa!
Kwahiyo msabato kumkosoa mroma ni sahihi maana wote wako kwenye taasisi za kidini.
Yesu alipojaribiwa na shetani aliambiwajeSasa mbona hamjihusishi na siasa kama mwili ma roho vyote ni vya Kristu, na Kristu alijihusisha na siasa?
Hapo anawaongelea Wasabato.Unaona sasa.
Yesu walimuuliza mbona huwa unaongea kwa mafumbo na mifano, aliwajibuje?
Luka 8:9-10
[9]Wanafunzi wake wakamwuliza, Maana yake nini mfano huo?
[10]Akasema, Ninyi mmepewa kuzijua siri za ufalme wa Mungu; bali wengine kwa mifano, ili wakiona wasione, na wakisikia wasielewe.
Unasubiri alitaje jina katoliki??
Ngoja nikuletee maandiko ya kanisa katoliki
Mathayo 16:18Imeandikwa wapi io kwenye biblia.
Wakati petro hakuwahi hata kukanyaga vatican.
Ebu tuambie ayo umetoa wapi
Kukosia sio kuhukumu.hawako sahihi pia kuwakosoa roman catholic
Maana imeandikwa 'usihukumu usije ukahukumiwa'
Siasa ni nini?Kristo alijihusisha wapi na siasa??
Aliwaambia ya Mungu ya Mungu ya kaisari kaisari
Hivi unajua siasa ni mfumo wa shetani?? Kulingana na biblia
Mpaka hapo alishajihusisha na siasa.Yesu alipojaribiwa na shetani aliambiwaje
Shetani alimwambia ukinisujudia malizooote na serikali na falme ntakupa.
Hakuwa anamdanganya,
Serikali na mifumo yote unayoiona the whole world order,ni mpangilio wa ibilisi.
Na ndomana kristo alisema ataileta mji na nchi mpya,haya yote hayana budi kuharibiwa kwakuwa ni mfumo wa ibilisi
Mathayo 16:18Mathayo 16:18
Wapi alipojihusishaMpaka hapo alishajihusisha na siasa.
Kwani hiyo Biblia imetokea wapi ? Mbona unajinadi sana bila kujua imetoka wapi ?Mathayo 16:18
[18]Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
[emoji2][emoji2] Kwaio hapo ndipo mlipodanganywa kuwa ilo kanisa no kanisa katoliki
Soma biblia alafu uone kanisa gani petro alilianzisha.?
Petro alianziwha kanisa la mitume.
Ambalo baadae lilipingwa nakuuawa na roman.
Wakatubi wakaita makanisa majina ya mitume waliowaua ili dunia izani walitubu kweli.
Mmedanganywa biblia imetoka katoliki sio?Kwani hiyo Biblia imetokea wapi ? Mbona unajinadi sana bila kujua imetoka wapi ?