Kanisa lamshinda Mc Pilipili

Huyu dogo amechanganyikiwa aseee

Cc Gily Gru
 
Bado hajasema
 
Ila Wakristo,,,,, ila Wacha watupige kama ngoma tu maana njia ya mkato sasa ya kupiga pesa ni kufungua Kanisa. Sasa tujiulize kama dhamira ilikuwa ni kuhubiri injili nini kimemshinda kama sio kukosekana Kwa maokoto kanisani
 
Asee
 
Jamaa awacheki watu wake wa karibu, anaonekana hayuko sawa kiakili pamoja na uchumi. Wale akina Kapola, Mwamposa na Masanja ndiyo wakati wakumsaidia mtumishi mwenzao.

Na kama kaona utumishi umemshinda kabisa, apewe mtaji afanye mambo mengine. Niliona Kapola amempa mchekeshaji gari, mwamposa katoa pikipiki 40 Arusha, wamsaidie kijana. Iko wazi kabisa hayuo sawa. Wanashindwa kuwaidia waumini wao, wasaidie hata mtumishi mwenzao.
 
Aseme biashara imemshinda
Tu!
Alafu wale wote waliyokuwa wanaenda kwenye kanisa lake
Wpmbv tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…