Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo mdogo wa mkewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani brother hukuona wanawake wengine wote mpaka upite na mdogo wa mkeo?
Haya sawaSista,
100% sio yangu hiyo mimba
Hesabu zake ziliona we ndo utakuwa baba Bora haijalishi mimba kapewa na Nan, wanawake[emoji119]Hivi inaingia akilini kweli mkuu?
Yaani ukutane na mwanamke mfanye afu usimwage kabisa na baadae aje akwambie eti ile mimba Ni yako? Ananijaribu au?
Kachanga karata zake,kaona upo vizuri financially,na hata unapoongea nae ashakufanyia analysis na kuona unafaa kabisa....Sema kuna kitu ulimficha i.e your inner instincts hakujua una misimamo yako aliona atakumudu na we ungekua mpole tu pindi ambapo angeleta hoja zake za kua na kibendi.....sahii kabisa,
Anamficha mhusika,
Sijui lengo lake Nini hasa uyu mtoto
Na niishamstuka tangu mwanzo akinisisitiza tufulurize tunafanya.Kachanga karata zake,kaona upo vizuri financially,na hata unapoongea nae ashakufanyia analysis na kuona unafaa kabisa....Sema kuna kitu ulimficha i.e your inner instincts hakujua una misimamo yako aliona atakumudu na we ungekua mpole tu pindi ambapo angeleta hoja zake za kua na kibendi.....
Huna mpinzani katika mpaka JF tumeamua kukuzoea na tuishi humoNaam mkuu[emoji4]