Kanitapeli na katuma watu wanivamie. Nimchukulie hatua gani?

Kanitapeli na katuma watu wanivamie. Nimchukulie hatua gani?

ndio wanaonipa taarifa mana hapa kitaa sina ubaya na mtu so ni mtu peace sana kwahy naish na watu vzr
Hizo sifa zako binafsi unazojiexpose nazo, hustahili kutolewa na mtu mwingine na siyo wewe mwenyewe.

Kujisifia ni dalili mojawapo inayopelekea watu waanze kukutilia mashaka.

Hiyo ni mbinu mojawapo inayotumiwa na matapeli 'wasomi'.

Unamkuta mtu yupo polite, smart kuanzia kimuonekano, kichwani nk kumbe ni tapeli la 'tuma kwa namba hii'!

Na katika jamii linaishi na watu vizuri.
 
Huyu jamaa yangu kamtuma mtu kunifanyia utapeli nikamstukia baada ya kushindwa hizo mbinu kaandaa watu wavamie nyumban kwangu waniibie na hizo taarifa nazipata kupitia watu wake wa karibu.

Je, nichukue hatua gani kwa mtu kama huyu?
Kill
 
Huyu jamaa yangu kamtuma mtu kunifanyia utapeli nikamstukia baada ya kushindwa hizo mbinu kaandaa watu wavamie nyumban kwangu waniibie na hizo taarifa nazipata kupitia watu wake wa karibu.

Je, nichukue hatua gani kwa mtu kama huyu?
Kwa kuwa hauamini uwepo wa sheria na mahakama nakushauri uwe unaacha milango wazi ili wakija wasivunje milango
 
Eleza chanzo kwa kina usaidiwe na wadau kimawazo labda yawwza kuwa weww ndo tatizo
Ndo akili gani hizi? Au wewe ndio uliyetuma watu? Mtu anakuja polisi kapigwa alafu unamuambia labda wewe ndio tatizo?
 
Back
Top Bottom