Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo sifa zako binafsi unazojiexpose nazo, hustahili kutolewa na mtu mwingine na siyo wewe mwenyewe.ndio wanaonipa taarifa mana hapa kitaa sina ubaya na mtu so ni mtu peace sana kwahy naish na watu vzr
KillHuyu jamaa yangu kamtuma mtu kunifanyia utapeli nikamstukia baada ya kushindwa hizo mbinu kaandaa watu wavamie nyumban kwangu waniibie na hizo taarifa nazipata kupitia watu wake wa karibu.
Je, nichukue hatua gani kwa mtu kama huyu?
Kamfungulie kesi ya Kula njama chini ya kifungu cha 384 sura 16 R.E 2022 ila uwe na ushahidi
Kwa kuwa hauamini uwepo wa sheria na mahakama nakushauri uwe unaacha milango wazi ili wakija wasivunje milangoHuyu jamaa yangu kamtuma mtu kunifanyia utapeli nikamstukia baada ya kushindwa hizo mbinu kaandaa watu wavamie nyumban kwangu waniibie na hizo taarifa nazipata kupitia watu wake wa karibu.
Je, nichukue hatua gani kwa mtu kama huyu?
Ndo akili gani hizi? Au wewe ndio uliyetuma watu? Mtu anakuja polisi kapigwa alafu unamuambia labda wewe ndio tatizo?Eleza chanzo kwa kina usaidiwe na wadau kimawazo labda yawwza kuwa weww ndo tatizo