Wewe Me /Ke?Kuna "mchovu" mmoja siku ya birthday yangu kaniletea asali nusu lita na sh elfu 50. Hivi huyu ananionaje kwanza?
Nimevunja rasmi mahusiano kuanzia siku hiyo (nimempiga chini kwa kasi ya 5G).
Mm sipendi ubabaifu. Watu wanazawadiwa magari yeye ananizawadia nusu lita ya asali na sh elfu 50?
Kuwa na mahusiano na akina "michongo yangu haijatiki" au akina "mshahara haujatoka" ni uchuro, laana na mkosi mkubwa.
Hapo kwenye "anything"Huo siyo ujinga ndugu ni "lover care" kama ilivyo kwa "customer care".
Do anything to impress your lover
Weka contact zako, nkutumie zawad unayostahil upunguze makasrkoKuna "mchovu" mmoja siku ya birthday yangu kaniletea asali nusu lita na sh elfu 50. Hivi huyu ananionaje kwanza?
Nimevunja rasmi mahusiano kuanzia siku hiyo (nimempiga chini kwa kasi ya 5G).
Mm sipendi ubabaifu. Watu wanazawadiwa magari yeye ananizawadia nusu lita ya asali na sh elfu 50?
Kuwa na mahusiano na akina "michongo yangu haijatiki" au akina "mshahara haujatoka" ni uchuro, laana na mkosi mkubwa.
Unataka paweje?Hapo kwenye "anything"
Ukute hauna tako.
Mwenzio alipewa embe bora hata wewe umepokea asaliSasa ndiyo anizawadie asali?? Siku muhimu Kama hiyo kashindwa hata kukopa laki 3 anipatie??
Jamaa si kafanya something?Unataka paweje?
Yaaani akope laki 3 akupe wewe 😂😂😂 aise wewe umewahi kumpa hiyo laki 3😂🤷🏿♂️🤷🏿♂️Sasa ndiyo anizawadie asali?? Siku muhimu Kama hiyo kashindwa hata kukopa laki 3 anipatie??
Ukiona umekuwa katika set flan ni codes,ukiona umepanda ni codes.Sistahili hicho, sema yeye ndiye mchovu (hana hela)
asali ni moja ya tiba ya nguvu za kiume. amekuna mchovu kitandani, amekusaidia hapo. utakuja kumkumbuka.Kuna "mchovu" mmoja siku ya birthday yangu kaniletea asali nusu lita na sh elfu 50. Hivi huyu ananionaje kwanza?
Nimevunja rasmi mahusiano kuanzia siku hiyo (nimempiga chini kwa kasi ya 5G).
Mm sipendi ubabaifu. Watu wanazawadiwa magari yeye ananizawadia nusu lita ya asali na sh elfu 50?
Kuwa na mahusiano na akina "michongo yangu haijatiki" au akina "mshahara haujatoka" ni uchuro, laana na mkosi mkubwa.
It loooks like your under 30 na bado hujaelewa life lenyewe na haumpendi huyo mtuSasa ndiyo anizawadie asali?? Siku muhimu Kama hiyo kashindwa hata kukopa laki 3 anipatie??
Isije kuwa wewe ndiye yule aliyeonwa kwa wahaya ukaonewa hurumaBasi aende vijijini huko akatafute. Hapa mjini awaachie wenye hela
Hapana. Sijawahiwewe umewahi kumpa hiyo laki 3😂🤷🏿♂️🤷🏿♂️
We ni mwehuKuna "mchovu" mmoja siku ya birthday yangu kaniletea asali nusu lita na sh elfu 50. Hivi huyu ananionaje kwanza?
Nimevunja rasmi mahusiano kuanzia siku hiyo (nimempiga chini kwa kasi ya 5G).
Mm sipendi ubabaifu. Watu wanazawadiwa magari yeye ananizawadia nusu lita ya asali na sh elfu 50?
Kuwa na mahusiano na akina "michongo yangu haijatiki" au akina "mshahara haujatoka" ni uchuro, laana na mkosi mkubwa.
Vip baba yako anazo hizo hela au unaleta dharau kwa watoto wa wenzio?Sistahili hicho, sema yeye ndiye mchovu (hana hela
Mwambie babaako akuzawadie gariWapo wenye sura na shepu za kawaida ambao mm nawazidi mara 100 lkn wanapewa mizawadi mikubwa. Huyu mchovu tu
anataka uongeze nguvu za kike maana zimepungua kula asali mamaaaKuna "mchovu" mmoja siku ya birthday yangu kaniletea asali nusu lita na sh elfu 50. Hivi huyu ananionaje kwanza?
Nimevunja rasmi mahusiano kuanzia siku hiyo (nimempiga chini kwa kasi ya 5G).
Mm sipendi ubabaifu. Watu wanazawadiwa magari yeye ananizawadia nusu lita ya asali na sh elfu 50?
Kuwa na mahusiano na akina "michongo yangu haijatiki" au akina "mshahara haujatoka" ni uchuro, laana na mkosi mkubwa.